Sua main campus ipo kata ya magaduMtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Acha upumbavu wako hapa,peleka hukohuko kwenye level zenu,zile hazikuwa tuhuma bali ukweli halisi ndio maana muhusika aliandika barua ya kuomba radhi na ipo kwenye mafaili,mwanafunzi alifutiwa matokeo akafanya mtihani upya mwezi wa 9 mwaka jana.Huoni hapo TAKUKURU waliona tuhuma hazina ushahidi wa kutosha kumtia hatiani. Maana polisi wala TAKUKURU hawakumfungulia mashtaka, wewe unawezaje kulishika jambo hilo kuwa ni la kweli. Acheni kushika uzushi unaokusudia kumchafua mtu. Uzuri uongo haujawahi kuushinda ukweli, huwa ni suala la muda tu.
Kwahiyo mtoa mada akiwa ni mwanafunzi mwenye uwezo mdogo inahalalisha jambo analolalamikia?Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Nikiangalia, hata wewe uliyeandika ni mwalimu wake dhaifu, kwa uandishi wako. Hujui neno ni campus, umeandika campusi. Neno halafu umeandika alafu! Kusomea ualimu ni nini?Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Umeandikiwa kitu kingine, wewe unasema ni siasa. Kuna uhusiano gani wa alichoandika na siasa? Au unadhani kila mtu anasema CCM, CHADEMA, CUF, ACT.... Kuza akili yako ikupe umaarufuWewe soma, acha Siasa za kijinga, unaenda kucheza disco Kila siku Samaki Samaki, mambo yamekuharibikia unakuja kulia huku
Watu wenye maoni ya kijinga-jinga kama wewe huwa siwaachi. Kwa hiyo unataka nawe tukuache na tabia yako ya ushoga? Sisi inatuumiza sana kukuona una tabia hiyo miongoni mwetu!We yanakuhusu nini,
Unaeweza ukawa sahihi ila binadamu ukianza kuona mambo ya watu wengine yanakuumiza roho mpaka unatamani kulia na kupasuka ujue ni dalili za mwisho kabisa za kukaribia kuwa ...........
Huo ndo uchawi, ushoga afanye mwingine kuumia uumie wewe, utakufa siku sio zakoWatu wenye maoni ya kijinga-jinga kama wewe huwa siwaachi. Kwa hiyo unataka nawe tukuache na tabia yako ya ushoga? Sisi inatuumiza sana kukuona una tabia hiyo miongoni mwetu!
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.
Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.
Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.
Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.
Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.
TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.
Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.
NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.
Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
Courses zenyewe zikiwa chache saana kwa semester ni 8🤣🤣🤣🤣Mifumo ya SUA ni migumu kivipi mkuu?
tumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboaHao mabwege wa sasa hawasomi wanajifanya mabrother men na masista du then wanakuja huku kuchafua watu. Kudisco haikuamza leo tena bora yenu passing mark sijui 21 au 31 then mna carry na kulalamika. Tuliosoma kipindi cha nyuma kabla semister system ndio tunajua ugumu wa SUA. Hao wa sasa hakuna kitu na wanaleta majungu humu.
Huu ndio ugumu au mfumo mbovu?,Courses zenyewe zikiwa chache saana kwa semester ni 8🤣🤣🤣🤣
Bado nlikuwa najiuliza eti mi ni staff ila sjaajiriwa hapa chuoni😆😆😆 afu anajichanganya mara story za "naskia" mara haya nimeyashuhudia mwenyewe" sasa hapo linafanyiwa kazi lipi anatoa malalamiko na ushuhuda utafikiri shuhuda wa ajali barabarani khaaa....Uliposema wewe ni staff ambaye hujaajiriwa na serikali hapo chuoni nimekuona ni muongo. Unakuwaje staff wa taaisisi ya serikali na serikali haijkuajiri?
.tumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboa
Bado nlikuwa najiuliza eti mi ni staff ila sjaajiriwa hapa chuoni😆😆😆 afu anajichanganya mara story za "naskia" mara haya nimeyashuhudia mwenyewe" sasa hapo linafanyiwa kazi lipi anatoa malalamiko na ushuhuda utafikiri shuhuda wa ajali barabarani khaaa....
SUA bana ni rahisi na ni ngumu pia...nakumbuka tulikuwa tukifanya tests nyingi jpili, watu tunaondoka ijumaa kwenda dar kuruka viwanja unarudi jpili asubuhiiiii na abood za kwanzakwanza sa 8 sjui sa 9 test hii hapa😄😄😄😄 na tulitoboa kibishi na vijiji freedom Squaretumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboa
Wengine watakuwa wametoa papuchi hapo bila shaka.Mtoa mada acha ujinga na roho mbaya na wewe ulishindwa vipi kitoa pesa ili usidisco.