DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hahahahah....raha sana ukiijulia watu septmber comference mtu ameingiza karibu course tano na anachomoa
 
Shika yako,
Otherwise uliyedisco ni wewe
 
tumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboa
Sasa passing mark ya 21 sijui 31 nanyi mnasema mnasoma? Tupo nanyi makazini wasuaso wa 2010's kuja juu. Ni vimeo tupu.
 
Wana JF,natumai mko sawa,hasa walioamua kuliona jambo hili katika hali ya elimu kitaifa kwa ujumla.
Binafsi sikua online muda mrefu kutokana na majukumu na hapa ya pale na kazi zetu hizi za kupangiwa na wakubwa.

Kuna watu wameuliza labda kuwa mimi sio muajiriwa wa sua halafu kuna sehemu najiita staff,ni kweli sio,na si kila staff hapa ni staff wa sua.
Katika tamko langu nimeweka hilo jambo ili ijulikane mapema kuwa naielewa sua na naandika nilichokiona sio kusimuliwa,morogoro niko miaka zaidi ya 15 sasa,hivyo nina uhakika ninachokisema,kwa kadri tunavyoendelea nitaweka na majina ya wahusika hadharani.

Pia kuna wengine wanasema mimi ni mwanafunzi nimedisco,ijulikane ya kuwa mimi si mwanafunzi,hii haitasaidia kuondoa jambo hilo la aibu liliofanyika hapa chuoni na wala haihalalishi ufedhuli huo unaoendelea.
Wengine wanasema nimeandika nasikia,hii ieleweke kuwa haya mambo si moja au mawili,bali msururu unajulikana.
Mtu mmoja amesema nikosea kusema tarafa ya magadu,kuwa ndipo ilipo kampasi kuu,nadhani huyo ni mmoja wa wahusika,anataka kuipoteza mada.

Nimetumia kiswahili kwa kuwa sijasoma kama hao wanaohongwa kirahisi kugeuza status za wanafunzi waliofeli.

karibuni dinner,location unit 6.
 
Mkuu,tafadhali kwenye uzi huu sihitaji matusi.
 
Hilo la huyo dokta kuweka matokeo ya UE bila mwanafunzi husika kufanya mtihani imetokea mwaka jana semester ya kwanza,ilipojulikana watu wakataarifu uongozi kwa kuanzia college,lakini huwezi kuamini pamoja na uongozi kupata taarifa mapema kabisa mwezi wa 5 walikua wameachana nalo tu jambo siriasi kiasi hicho.

Mwezi wa 9 hapa takukuru wakatinga ghafla chuoni,inaonekana hiyo habari ni kweli,na huyo dogo alifutiwa yale matokeo ya bure,akafanya huo mtihani upya.
Mwezi wa 12 hapa daktari husika amepandishwa cheo,hii ni halisi.
Na tuhuma za kubuni matokeo anazo toka 2019 huko,na hizo za hivi karibuni ndio zilikua mbaya zaidi tatizo uongozi unalea wagonjwa wa kitaaluma.
 
Huyu tulikuwa tunamcheki nakusema kama mzee Magu hiiiiii! Tangu enzi zetu huyu mama ni majivuno ya kitoto huku tukijua mitihani anagawa tu. Sema hapo aliumbuka.

Tuko mitaani kwa hasira zetu lazima tuwanyee! Huyu mwenyewe hata English haipandi Hadi kichekesho tu
 
Wakuu amani iwe nanyi.
Nilipotea katikati hapa kutokana na majukumu kadha wa kadha ya kujitafutia angalau mkono uende kinywani.

Katika aya ya mwisho nilisema nitaleta habari jinsi sua inavyoharibu elimu,kwa muda wa miezi karibu miwili nimefanya utafiti na kuthibitisha hilo.

Habari kamili jumapili mchana nitaileta hapa,naahidi hili kulipeleka kwa uongozi wa chuo,wizaya ya elimu na TCU pia.

Asanteni.
 
Roho mbaya na uchawi ni watoto wa baba na mama mmoja....

Nacho Kipenda kutoka kwangu sijawai kufail mitiani.....
Na sijawai tumia njia za panya masomoni..
Nikisema niweke kitabu chochote kichwani Kwa kukikariri au kukielewa naweza.....🤓😂🤣
 
Sasa wewe kama ulikuwa unashida ipoipo tu unazani utatoboa
 
Umesoma chuo gani wewe? Hicho chuo ni kiboko! ulifaulu kila wakati na leo hii unaandika ......sijawai (sijawahi) .....mitiani (mitihani)
 
Wewe soma, acha Siasa za kijinga, unaenda kucheza disco Kila siku Samaki Samaki, mambo yamekuharibikia unakuja kulia huku
Sure. Bashite (graduate wa mchongo) anapeta kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…