Team kali inahitajika kwa Kampuni ya Media

Team kali inahitajika kwa Kampuni ya Media

n
Thanks for contacts. Ila Naweza pata namba ya whatsapp bro? Nimejaribu hio ili nikutumie yangu ila naona haiko active kwa whatsapp. Nipo nje ya nchi this minute kwa hio njia reliable ya kuwasiliana na Tz numbers ni kupitia whatsapp. Japo nitakuwa in Tanzania in 2 weeks.
 
Vijana unaowatafuta ni kwenye different field of experts au una specialize kwenye ujuzi mmoja wawe wanajua
Hii media team inahitaji watu mbalimbali kama camera personnel, equipment handlers, drivers, video editors, audio technicians, etc. Nimegundua ni rahisi kufundisha watu hayo mengine. Always ugumu unakuja in English. Hayo mengine ukikomalia na mtu, anajifunza hata in 1 to 2 months vizuri. Ila English language sio kitu cha miezi.. na wengi kama hajui ni hajui tu. Kwa hio ndio maana hio ni one of primary qualities, then mengine watajifunza. Ndio maana pia ni lazima awe fast learner pia. Mwenye akili ya kujifunza haraka.
 
fast learner pia. Mwenye akili ya kujifunza haraka
Kila kitu nikujifunza na vyote vinawezekana, ni utayari tuu wa mtu kutaka kujua kile anachojifunza.

Sasa naona nianze kuomba nafasi maana kingereza kipo ila hayo mengine umesema tutafunzwa kama sio kufundishwa..


Nawasilisha
 
Kila kitu nikujifunza na vyote vinawezekana, ni utayari tuu wa mtu kutaka kujua kile anachojifunza.

Sasa naona nianze kuomba nafasi maana kingereza kipo ila hayo mengine umesema tutafunzwa kama sio kufundishwa..


Nawasilisha
Could you please write those sentences in English? Thanks buddy.
 
Everything is learning and everything is possible.

It is a personal willingness to want to know what he is learning. I am asking for a job opportunity because the rest you have said we will know through learning .
 
Hii media team inahitaji watu mbalimbali kama camera personnel, equipment handlers, drivers, video editors, audio technicians, etc. Nimegundua ni rahisi kufundisha watu hayo mengine. Always ugumu unakuja in English. Hayo mengine ukikomalia na mtu, anajifunza hata in 1 to 2 months vizuri. Ila English language sio kitu cha miezi.. na wengi kama hajui ni hajui tu. Kwa hio ndio maana hio ni one of primary qualities, then mengine watajifunza. Ndio maana pia ni lazima awe fast learner pia. Mwenye akili ya kujifunza haraka.
mkuu naomba pia niombe nafasi kwani mambo yanayohusu tourism nimo...na kama ulivyosema kuhusu kujifunza mambo mengine me n mwepesi wa kujifunza
DocJayGroup
 
Everything is learning and everything is possible.

It is a personal willingness to want to know what he is learning. I am asking for a job opportunity because the rest you have said we will know through learning .
I hope you will see my future post when I am ready to receive applications. I am not ready to do so at this time.

Your translated phrases are okay, but the most correct form is written here below:

If there is willingness, anything can be acquired through learning. I kindly request to be given an opportunity to be in your team. I am very fluent in English, and I am also a very fast learner. I therefore believe that I can easily acquire all the skills which are needed in order to become a highly-qualified team member.

Sentensi ya kwanza ni tafsiri ya penye nia ya kujifunza uwezo au njia ipo. Umeandika sentences 3 ambazo ungeweza kuzielezea kwa hii sentence moja tu. Translating to English haufuati neno kwa neno, focus ni context - maanake ujumbe usipotee na pia usiandike sentences nyingi sana kama hakuna ulazima huo. Short and clear phrases are always better. Pia hizo sentences nyingine kweli hazieleweki kwamba unaongelea nini hapo. Nilivyoandika ndio inavyotakiwa kujielezea kwamba unajua English, una akili ya kujifunza, na mengine yote utayapata kwa uhakika sababu sifa unazo.
 
mkuu naomba pia niombe nafasi kwani mambo yanayohusu tourism nimo...na kama ulivyosema kuhusu kujifunza mambo mengine me n mwepesi wa kujifunza
DocJayGroup
Hili sio tangazo la kazi. Ni post ya kuomba ushauri wa namna ya kupata hio team ninayoihitaji. Nitapost hilo tangazo in the near future, and I hope utakuwa online kuliona. Tarehe kamili siijui bado.
 
Hili sio tangazo la kazi. Ni post ya kuomba ushauri wa namna ya kupata hio team ninayoihitaji. Nitapost hilo tangazo in the near future, and I hope utakuwa online kuliona. Tarehe kamili siijui bado.
sawa shukran pia...nalisubiri tangazo
 
I hope you will see my future post when I am ready to receive applications. I am not ready to do so at this time.

Your translated phrases are okay, but the most correct form is written here below:

If there is willingness, anything can be acquired through learning. I kindly request to be given an opportunity to be in your team. I am very fluent in English, and I am also a very fast learner. I therefore believe that I can easily acquire all the skills which are needed in order to become a highly-qualified team member.

Sentensi ya kwanza ni tafsiri ya penye nia ya kujifunza uwezo au njia ipo. Umeandika sentences 3 ambazo ungeweza kuzielezea kwa hii sentence moja tu. Translating to English haufuati neno kwa neno, focus ni context - maanake ujumbe usipotee na pia usiandike sentences nyingi sana kama hakuna ulazima huo. Short and clear phrases are always better. Pia hizo sentences nyingine kweli hazieleweki kwamba unaongelea nini hapo. Nilivyoandika ndio inavyotakiwa kujielezea kwamba unajua English, una akili ya kujifunza, na mengine yote utayapata kwa uhakika sababu sifa unazo.
Hii ilikuwaa IELST
 
Kwa gharama yeyote ni sawa kama mtu ana huo uzoefu (Experience Kubwa). No problem kabisa. Ila unakuta Mtu anasema ana uzoefu, lakini hakuna kitu. Yani nyani haoni ku&***le. Mtu ni sifuri kabisa, ila anajipamba kweli kwa maneno. Tanzania challenge ya skilled workers ipo sana sana. Watu wanaotaka kazi ni wengi. Ila quality ndio tatizo.
Hapa nakubaliana na wewe
 
Mkuu,Ushauri wangu ni hivi,Kama huwezi kupata wafanyakazi wenye skills unazotaka then TRAIN THEM,Wape Mafunzo ya competencies unazoona zinahitajika ila hkikisha unakuwa na minimum level ambayo lazima mtu awe nayo.
 
Hii media team inahitaji watu mbalimbali kama camera personnel, equipment handlers, drivers, video editors, audio technicians, etc. Nimegundua ni rahisi kufundisha watu hayo mengine. Always ugumu unakuja in English. Hayo mengine ukikomalia na mtu, anajifunza hata in 1 to 2 months vizuri. Ila English language sio kitu cha miezi.. na wengi kama hajui ni hajui tu. Kwa hio ndio maana hio ni one of primary qualities, then mengine watajifunza. Ndio maana pia ni lazima awe fast learner pia. Mwenye akili ya kujifunza haraka.
Boss, mm naweza kufanya mambo mengi kuhusu video kama ulivyosema hapo, project itakapokuwa tayari naomba unichek ila kwa sasa niko Dar
 
Hio Kampuni ya Media ambayo iko integrated kwa mambo ya tourism, ilibidi niiisimamishe kwa muda kwa sababu vijana waliokuwepo walikuwa waswahili, wavivu, na wasiojituma. Ili kuirudisha tena, nahitaji Vijana Wachapa Kazi sana. Kila mfanyakazi ni lazima ajue English vizuri kwa kunyooka sababu itahusika na International media productions.

Qualities za prospective team member jumla ni 5, namely,
(1)High level of English proficiency.
(2)Ability to commit kwa kazi na safari muda wowote.
(3)Uaminifu sana kwa kazi, rasilimali, na fedha.
(4)Akili ya kujifunza haraka,
(5)Mchapa kazi sana asiyeweka hela mbele.

Tanzania nifanyeje ili kupata vijana kama hao? Naombeni ushauri wana JF.

Studio kali. Majengo. Equipment za kisasa, na Magari (Land cruisers) vipo. Kweli kinachokosekana ni Team Kali. Na pasipo team kali, MAFANIKIO HAKUNA. Wajasiriamali wenzangu mnaelewa hilo. I.e. Your team will make you or break you. In other words, the quality of human resources determines whether the business succeeds or fails.

PS: Ofisi na makao makuu yako Arusha. Ila team itasafiri sehemu mbalimbali Tanzania.

PS: Tangazo official bado. Nimepost ili kupata ideas (brainstorming) za namna ya ku-recruit team members successfully. Kuna aliyeuliza contacts. Muda muafaka ukifika, zitawekwa.
Mkuu hujawa specific kuwa unataka watu wenye skills gani, naona umetupa jiwe kizani.
 
Hio Kampuni ya Media ambayo iko integrated kwa mambo ya tourism, ilibidi niiisimamishe kwa muda kwa sababu vijana waliokuwepo walikuwa waswahili, wavivu, na wasiojituma. Ili kuirudisha tena, nahitaji Vijana Wachapa Kazi sana. Kila mfanyakazi ni lazima ajue English vizuri kwa kunyooka sababu itahusika na International media productions.

Qualities za prospective team member jumla ni 5, namely,
(1)High level of English proficiency.
(2)Ability to commit kwa kazi na safari muda wowote.
(3)Uaminifu sana kwa kazi, rasilimali, na fedha.
(4)Akili ya kujifunza haraka,
(5)Mchapa kazi sana asiyeweka hela mbele.

Tanzania nifanyeje ili kupata vijana kama hao? Naombeni ushauri wana JF.

Studio kali. Majengo. Equipment za kisasa, na Magari (Land cruisers) vipo. Kweli kinachokosekana ni Team Kali. Na pasipo team kali, MAFANIKIO HAKUNA. Wajasiriamali wenzangu mnaelewa hilo. I.e. Your team will make you or break you. In other words, the quality of human resources determines whether the business succeeds or fails.

PS: Ofisi na makao makuu yako Arusha. Ila team itasafiri sehemu mbalimbali Tanzania.

PS: Tangazo official bado. Nimepost ili kupata ideas (brainstorming) za namna ya ku-recruit team members successfully. Kuna aliyeuliza contacts. Muda muafaka ukifika, zitawekwa.
Thanks for sharing with us,

"FAIL BIG, But always make sure that ,You FAIL Forward."Denzel Washington

Kwanza kabisa,Change your mindset,Kwa maana hesabu kuanguka mara ya kwanza ni sehemu ya kujifunza,Na bado kuna chance ya kuendelea kufanikiwa licha ya vikwazo na magumu uliyoyapata.

Kwenye media industry,Vifaa sio kitu,Kama hujajua what NICHE are you In.

Ni vema kuwa na clear VISION ambayo itatoa focus nzuri kupitia mission ulizonazo.Kwa maana lazima uwe tayari kushare na team unayotaka target na core aims ya/za kuanzisha media production yako.

Amini vijana wazuri wapo ,Na wewe unaweza kuwa sehemu ya kuwatengeneza.

Research kama hivi ulivoandika hapa JF ni sehemu ya kuwaandaa vijana hao.

Ajiri mtu au watu wenye uzoefu wa kutosha ambao watakuwa na team chini yao,Itakayowasaidia kuandaa vipindi kwa kadiri ya VISION yenu.

Kunahitajika orientation kwa team utakayokuwa nayo ,ili kujua nini mnapaswa kukifanya,misingi ya kampuni na hata utendaji kazi kwa ujumla.

Usiwe na too much expectation ,Instead give them permission to grow.

Training za mara kwa mara ,Zina nafasi kubwa ya kuinoa na kuiimarisha team unayoitaka.

Pia unaweza kuanza na wachache kama pilot project,Kuona utayari wao kabla ya kuanza kwa kasi kubwa bila kuona efficiency ya team.

Kwa uzoefu zaidi kuhusu masuala ya video and audio production karibu sana PM tujadiliane mkuu.
 
Back
Top Bottom