Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini?Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Chizi weweNi wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Wawalipie kwanza waliozuiliwa vitu vyao hotelini waliokuwa wamekuja kwenye uchaguzi huoMmefanya figisu kwenye uchaguzi mmekwama , mnafikiri Lisu mtaweza kumkwamisha? Tafuteni shughuli za kufanya mtapoteza muda wenu bure
Hakikisha unaanzia uzi kila siku kumhusu Lisu.Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Aliyepaswa kuwalipia waliozuiliwa vitu vyao hotelini ni Nani mkuu?Wawalipie kwanza waliozuiliwa vitu vyao hotelini waliokuwa wamekuja kwenye uchaguzi huo
Huna jipya. Kama yale maandamano aliyoitisha Mbowe wewe uliandamana ukiwa kitandani kwenye blanket huku ukichungulia simu kuhusu yanayoendelea huko nje, utayaweza ya msituni? Tatizo kamdomo, kamdomooNi wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Mleta Uzi atakuwa anawajuaAliyepaswa kuwalipia waliozuiliwa vitu vyao hotelini ni Nani mkuu?
Huku kuifahamu na kuikuza Demokrasia Bado safari ndeeeefu sana.Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Kama hakufa kwa zile risasi. Hizo hujuma kwake ni mserereko Tu.Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe