Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Huko ni kufeli kwa Mbowe, uchaguzi umefanyika chini ya uongozi wake.Wawalipie kwanza waliozuiliwa vitu vyao hotelini waliokuwa wamekuja kwenye uchaguzi huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ni kufeli kwa Mbowe, uchaguzi umefanyika chini ya uongozi wake.Wawalipie kwanza waliozuiliwa vitu vyao hotelini waliokuwa wamekuja kwenye uchaguzi huo
Wewe ccm nyuzi zako zote hata kabala ya uchaguzi ni kuiombea mabaya chadema nani asiyekujuaMimi Chadema, futa kauli yako kabla sijampigia simu mwanasheria wangu
Tupe credible source ya habari yakoWawalipie kwanza waliozuiliwa vitu vyao hotelini waliokuwa wamekuja kwenye uchaguzi huo
Search, Global tv online, then write.. chadema ngoma ngumu Mali za wajumbe zashikiliwa hoteliniTupe credible source ya habari yako
Mawazo ya kijinga sana haya.Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Lengo la kwanza la CHADEMA litakuwa kupata wabunge wengi ambalo watalifanya mwaka huu baada ya hapo baadae Ndiyo kushika hatamu kwa mwaka huu hapanaMawazo ya kijinga sana haya.
Wewe kama sio Yeriko Nyerere, sio Ntobi basi mpo na ushirika wa karibu na watu tajwa hapo juu , chama kipo mikono salama , Upumbavu huu umeandika utakuletea shida ,tunza hii,Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
CCM ni tatizo kubwa nchi hii tuwakatae.Ni wakati muafaka sasa kuanza kupanda miba ya kutosha kuhakikisha huyu ndugu hapati nafasi ya kuwa Rais na pia kusuka hujuma za kila aina ndani ya chama ili kumkwamisha na kumbomoa.
Hii Vita haijaisha mpaka iishe
Ni wataalamu wa kujizima data a.k.a kuahirisha kufikiri kizalendoCCM ni tatizo kubwa nchi hii tuwakatae.