TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

Baada ya Mapinduzi Zanzibar iliachana na Usultani na kuwa Jamhuri Republic.

Wazanzibari wamejikomboa kutoka katika Minyororo ya Utumwa wa Mkoloni lakini wameshindwa kujikomboa Kifikra Mental Slavery na hii itachukua muda na sisi Watu wa Bara tutawasaidia pole pole tu Ishaalaah
Zanzibar ilitoka katika mikono ya Kikoloni mwaka 1800s Ambayo ailikuwa chini ya wareno Ilipopata Uhuru ikawa chini ya Utawala wa Kisultani yaani kidini....

Buta for simple information On December 10, 1963, Zanzibar achieved independence as a member of the Commonwealth.Maana commonwealth walitaka nchi zijitawale zenyewe kama Republic..

Na ukumbuke ilikuwa chini ya , Sayyid Jamshid ibn Abdullah
 
zingatia table manners hakuna atakae sumbuka na wewe 🐒

kubugia bugia na kufakamia mavyakula hovyo hovyo hadharani bila bila aibiu wala utaratibu ni mazoea na ni tabia mbaya.
Ni malezi ya hovyo sana 🐒

Pika au nunua Chakula chako kaa ndani kwa utulivu kula maliza, jiunge na wenzako kijiweni kwa stori na porojo, safiii, nani atababaika na wew?

sasa wewe unajua kabisa sis tumefunga, wengine hatujafunga na tuna njaa kweli kweli na mfukoni hatuna jambo lolote, halafu wewe unanua biriani au chips yenye mapochopocho kama yote, halafu unakuja kuungana nasi kijiweni huku ukifakamia hilo pilau......

huo sio ungwana na wala sio ustaarabu.
unatibua saumu za wengine lakini pia unatibua na kuvuruga zaidi njaa wengine kwa tamaa zako. Tutakushughulikia kimoyomoyo wale wenye roho ngumu, lakini wenye roho nyepesi hawatakuacha salama 🐒
Mkuu una umri gani?!
 
Hili hoja imebebwa na Wakristo. Je alieadhibiwa alikuwa Mkristo?
Zanzibar Wana Katiba yao na wanataratibu zao za kuishi. Sheria inasema wazi hairusiwi kula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhani.
 
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
Bora useme mzee ,maana ni sawa kuleta umuhimu kweny maisha ya watu...Hizo ni sheria za miaka kibao huko.

Nafikiria watanzania wengi bado hatuna exposure kujua tamaduni tofauti,mimi ni muislamu ila hiyo sheria sio applicable huku kwenyu bara yaani hata Tanga ,lindi ,mtwara ,pwani ni kosa.


Kuna jamaa aliniambia aliwekwa kizuizini airport singapore kwa alikuwa na Big G kadhaa kweny begi lake...Alilipa fine.
 
Bora useme mzee ,maana ni sawa kuleta umuhimu kweny maisha ya watu...Hizo ni sheria za miaka kibao huko.

Nafikiria watanzania wengi bado hatuna exposure kujua tamaduni tofauti,mimi ni muislamu ila hiyo sheria sio applicable huku kwenyu bara yaani hata Tanga ,lindi ,mtwara ,pwani ni kosa.


Kuna jamaa aliniambia aliwekwa kizuizini airport singapore kwa alikuwa na Big G kadhaa kweny begi lake...Alilipa fine.
Una umri gani?!
 
Mkuu una umri gani?!
ile ya maana na muhimu zaid ni kuzingatia mafundisho katika familia na dini jinsi ya kuzingatia au kujisitiri na chakula nyakati muhimu za kufunga mathalani kwaresma na ramadhani 🌹

ukizingatia malezi ya kinunda kutoka huko mtaani, ukileta ulimbukeni au mazoea kwenye ustaarabu wa watu utarekebishwa na kusahihishwa vizuri sana bila kuchekewa wala kuhurumiwa na yeyote 🐒

kua mustarabu ishi kwa kustaarabuka 🐒
 
Rais Mwinyi wa Zanzibar niliwahi lumuandika humu kuwa ni mdini, ni rais anayesambaza uisilamu badala ya kuongoza wananchi wote. Rais huyu kila mara hujitokeza kwenye mambo ya waisilamu hata kwenye shughuri zinazowahusu viongozi wa dini hiyo! Huyu hafai kuwa rais wa Tanzania, kinachoendelea Zanzibar kimepata baraka zake ndiyo sababu hawezi kukemea.
Kweli Hussein Mwinyi ni mdini, mbona babake hakuwa km yeye? Tulitegemea ye ndiyo angekuwa mstaarabu zaidi kumbe hovyo kabisa. Mtu hata ungesoma vp dini yaweza kukufanya zezeta. Ndiyo maana yule waziri wa utalii alijiuzulu
 
Waarabu hawakuwahi kutawala Sehemu yoyote kama Kolon Mkuu..

Kikao cha makoloni mwaka 1884 Waarabu walihudhuria??

Maana najua Marekani alihudhuria kama Mtazamaji Vipi waarabu??

Mkuu maana Ya Sultanate ni Utawala wa Kisultani..
Na Ulipatikana baada ya Waarabu kuchukua Uhuru kutoka kwa wakoloni wa Kireno Na kusimika utawala wa Kiislamu Zanzibar
Ama kweli mjinga ni mjinga tu
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Hasa hasa mwambie Askofu Malasusa
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Nyuma ya haya yote ukifuatilia kwa makini ni suala la muungano .

Ndio maana wakiwa wanawachapa utawasikia "Hapa sio bara yakhee".

Suluhisho la hii kero ni kuvunja muungano.
 
Tangu huyu mama aingie madarakani Zanziber ni kama imepata nguvu ya kidini zaidi, nguvu ya ubaguzi na hawajawahi kukemewa. Kamama na huyo Mzenji mwenzie madarakani ni Wadini na wabaguzi. Katiba mbovu imetupa mtawala mbovu.
 
Bora useme mzee ,maana ni sawa kuleta umuhimu kweny maisha ya watu...Hizo ni sheria za miaka kibao huko.

Nafikiria watanzania wengi bado hatuna exposure kujua tamaduni tofauti,mimi ni muislamu ila hiyo sheria sio applicable huku kwenyu bara yaani hata Tanga ,lindi ,mtwara ,pwani ni kosa.


Kuna jamaa aliniambia aliwekwa kizuizini airport singapore kwa alikuwa na Big G kadhaa kweny begi lake...Alilipa fine.
Ni kweli lkabisa mkuu wengi wanaoshabikia Ni wale walizaliwa namtumbo wakakulia namtumbo wakapata kazi Mtwala..

Hawana exposure hata ya hapa tu kenya au Kwenye nchi zingine..

Kuna Local Authority kibao kwa mfano sheria za Florida sio sawa na sheria za New Mexico au Texas
 
Ama kweli mjinga ni mjinga tu
Mkuu Tangu mwanzo sijaona Point yako ya Msingi yoyote unayotoa Zaidi ya Matusi na Kejeli nafikiri Sasa unajua kati yangu mimi na mjinga nani anastahili..
Tatizo hamsomi na hata kushughulika kujua hamtaki ,Sheria hamjui na hata kushughulika kujua hamtaki halafu bado mnakaa kubishana..

Lazma uishie kutukana badala ya kujibu hoja we unafikiri Maneno ya kujibu utayapata wapi🤣🤣

Wagiriki wanasema...

"Ηλίθιος πάντα ηλίθιος, ακόμα και αν προσπαθήσει να παρουσιαστεί διαφορετικά από αυτό που είναι;"

"Ilíthios pánda ilíthios, akóma kai an prospathísei na parousiastí diforetiká apó aftó pou íne"

"imbacile alwayz imbacile even if he try to put on another on what He is"
 
Rais Mwinyi wa Zanzibar niliwahi lumuandika humu kuwa ni mdini, ni rais anayesambaza uisilamu badala ya kuongoza wananchi wote. Rais huyu kila mara hujitokeza kwenye mambo ya waisilamu hata kwenye shughuri zinazowahusu viongozi wa dini hiyo! Huyu hafai kuwa rais wa Tanzania, kinachoendelea Zanzibar kimepata baraka zake ndiyo sababu hawezi kukemea.
Nilimuona kwenye luninga kwenye mashindano ya kurani hapo dar es salama
 
Mkuu Tangu mwanzo sijaona Point yako ya Msingi yoyote unayotoa Zaidi ya Matusi na Kejeli nafikiri Sasa unajua kati yangu mimi na mjinga nani anastahili..
Tatizo hamsomi na hata kushughulika kujua hamtaki ,Sheria hamjui na hata kushughulika kujua hamtaki halafu bado mnakaa kubishana..

Lazma uishie kutukana badala ya kujibu hoja we unafikiri Maneno ya kujibu utayapata wapi🤣🤣

Wagiriki wanasema...

"Ηλίθιος πάντα ηλίθιος, ακόμα και αν προσπαθήσει να παρουσιαστεί διαφορετικά από αυτό που είναι;"

"Ilíthios pánda ilíthios, akóma kai an prospathísei na parousiastí diforetiká apó aftó pou íne"

"imbacile alwayz imbacile even if he try to put on another on what He is"
Imenoga Sana hapo kwenye kigiriki Cha kale 😊😊
 
Back
Top Bottom