TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Ingekuwa ni Masai ndio inakula ingepita polepooole bila kusungumsa maana inajua rungu atashukia yeye!
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Mambo haya kikwete na kinana watusaidie,kuna shida
 
Watanganyika tuliamshe dude huku bara. Tumtimue kila mzanzibari akiwemo rais.
 
Hao wavaa makobazi wanaendekezwa huko zenji, wanaacha kupambana na mambo ya msingi wanafatilia harufu wapi panapikwa kweli inaingia akili mtu nzima na midevu yake kufanya ujinga ujinga kama huu.
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Kauli ya TEC undhani ina uzito gani nchi hii, ile ya DPWORLD imeshia wapi kwani. Msiwape umuhimu wasiokua nao, umuhimu wao ni huko huko Makanisani na kwa waumini wao.
 
Waarabu hawakuwahi kutawala Sehemu yoyote kama Kolon Mkuu..

Ikiwa ni hivyo inaleta dhana kuwa yanayoitwa mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalikuwa kuondoa nini ili tuweze kufahamu waZanzibari waliofanya mapinduzi walikuwa na nia gani?

Kumuondoa mkoloni au kungoa utawala wa Sultani lakini waarabu wazanzibari wengine mitaani na vijijini walipoteza maisha ktk mapinduzi hayo hata kama alikuwa mwenye shughuli zake za shamba la karafuu, mfanyabishara, mvuvi n.k
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Dini yote duniani hayijawahi kuamrisha waumini wake wawe wahuni . Kama umekosa malezi hata imani utayikosa uwe mkristo au mwisilamu. Hamna aliezuyiliwa asile chakula kipindi cha ramadhani. ila umekatazwa kula chakula hadharani. ktk maeneo ya umma. Umekatazwa kuvya nguo fupi na kutembea nusu uchi.
Kwa ankili yako mfano ukiamua kuchukua sufuria la nyama ya kiti moto kisha nenda karibu na msikiti hoyote hapa bara.Anza kushawishi wapita njia yoyote wanunue "supu yako ya kiti moto". Ukivamiwa na kuumizwa vibaya. Nani alaumiwe? Imani yako ? Au uhuni wako?
Tuache kushabikia uhuni na ujinga walioshikwa zanzibar kwa kula hadharani sio waumini wa dini yoyote wala dhehebu lolote. Ni wahuni walioamua kuvunja sheria hadharani. Miongoni mwao kuna majina ya kiisilamu....
 
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
Enzi hizo mlikuwa utumwani sasa kuendekeza huo upuuzi maana yake nini???? Mbona mlikuwa mkitumikishwa manamba na kufanyiwa udhalilishaji ikiwemo kuhasiwa bila kupendwa na kuuzwa kama mifugo ila tumepinga huo udhalimu???

Iweje leo kula iwe kosa la jinai ilhali tunajeshimu uhuru wa kidini na wote sio waislamu???
 
Upo sahihi sina, kuendelea kuwachekea chekea hawa wapuuzi tunaenda kubaya
 
Ikiwa ni hivyo inaleta dhana kuwa yanayoitwa mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalikuwa kuondoa nini ili tuweze kufahamu waZanzibari waliofanya mapinduzi walikuwa na nia gani?

Kumuondoa mkoloni au kungoa utawala wa Sultani lakini waarabu wazanzibari wengine mitaani na vijijini walipoteza maisha ktk mapinduzi hayo hata kama alikuwa mwenye shughuli zake za shamba la karafuu, mfanyabishara, mvuvi n.k
Hivi wazanzibar ndo walifanya Mapinduzi eeeh 😅😅..
Nilisahau bhna!
Vipi kuhusu Ndege za kivita za Wazungu??
Vipi kuhusu John Okelo Mganda???
Mzanzibar gani unayemjua alifanya Mapinduzi??

Usije ukaniambia Karume Maana nitacheka Sana 🤣🤣
 
Back
Top Bottom