TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

Enzi hizo mlikuwa utumwani sasa kuendekeza huo upuuzi maana yake nini???? Mbona mlikuwa mkitumikishwa manamba na kufanyiwa udhalilishaji ikiwemo kuhasiwa bila kupendwa na kuuzwa kama mifugo ila tumepinga huo udhalimu???

Iweje leo kula iwe kosa la jinai ilhali tunajeshimu uhuru wa kidini na wote sio waislamu???
Mbona Mna dini za kikristo na Kiislam na Ndo zilichangia kuleta huu Utumwa unaosema??

Vipi kama Chombo cha utumwa mmeuacha huu udini??
 
Yani hawa kweli washakua tawi la CCM alafu pia sijui nao CCM sijui hawaona hayo yanayoendelea huko kama chama Chakavu Tawala?
 
Hivi mnaosema kuna sheria inayokataza kula hadharani wakati wa ramafhani ni sheria namba ngapi na ya mwaka gani na inaitwaje na kifungu gani kinachotamka hayo?

Hata kama ingekuwepo japo najua haipo, hii tungeipinga mahakamani sababu ipo kinyume na katiba ya JMT inayotamka kwamba Tanzania is non -sexular nation (taifa linaloongozwa bila misingi ya kidini).

Wewe kama umeamua kufunga kwa hiyari yako kwa nini unilazimishe nisile au na sisi tukikulazimisha ufunge itakuwa sawa? Tufike wakati tuwe na kiasi kwenye hizi dini especially waislamu kumekuwa na matumizi ya nguvu na vurugu nyingi inapotokea ishu za waislamu sielewi kwamba ndio misingi ya dini au vipi?

Pia mtu akikosea kwa nini mnapiga na kusababishia maumivu namna ile ingali mpo kwenye toba? Hii ndio dini kweli inavyosema? Matumizi ya nguvu , ukorofi, ukatili ndio misingi ya dini ? Mbona dini inahimiza amani, upendo na uvumilivu?

Kuna tatizo gani kama mtu anakula wewe ukawa umeweka nadhiri na Mungu wako ya kufungaeti ukaanza kutamani chakula ? Hiyo si ulafi tu? Mtu mzima unayejua nini maana ya toba ya kufunga unaanzaje kutamani kula? Unaanzaje kutamani mwanamke na upo kwenye toba? Huu sio ulafi na uzinzi tu?

Nadhani tujitafakari sana.
 
I think it means the same but Independenc Is given either by peaceful means or otherwise but Revolution is taking by force what you believe is yours.
Not the same..
Ngoja nikupe mfano..
AMERICAN get Independence on July 4, 1776...

But AMERICAN revolution Was in 1765...

So are you follow??

The bristish Revolution was 1688..
But the British got Independence from The Roman Empire in 4th century
 
Mkuu amini nachokuambia Nimekuwa Jf kwa Muda mrefu Wakristo wengi Ni watu wa kutukana na hawawezi kutetea Hoja zao..
Waislamu nao ni Vile vile ila wakristo ni zaidi
Angalau ungetumia neno hilo toka mwanzo.
Ume generalize wakristo wote.
Niko Jf toka inaitwa jambo forum. Najua matusi ni tabia ya mtu sio matokeo ya imani.
 
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
je zanzibar inafuata sharia au katiba ? kama katiba je inatambua au kuwapa uhuru wa kuhukumu hao raia ? je nini kaz ya mahakama huko Zenji ?


Tukienda hv itafika siku na huku bara tutakuwa na taratibu zetu wakristu , je mtakaa kimyaa ?

Waislam wana kaujinga fulani hv huwa hawafikirii wakifanyiwa wao kama itakuwa sw , nliona humu wakishangilia seleka kuua wakristu wenye nchi huko CAR ila baadae raia walipojiunga na kujibu mapigo bas waislam wakaanza lia lia kila kona ya dunia pia tuliona huko middle east , hata Burma etc WAISLAM MPENDE KUYATIZAMA MAMBO KTK SURA MBILI
 
Angalau ungetumia neno hilo toka mwanzo.
Ume generalize wakristo wote.
Niko Jf toka inaitwa jambo forum. Najua matusi ni tabia ya mtu sio matokeo ya imani.
Safi sana Mkuu Nimependa hii na Hii ndiyo maana hasa ya elimu..
Shukrani kwa marekebisho
 
huwa mnachukulia kimzaa mzaa ila muda ukifika huwa mnatia huruma kuwaomba nchi za kiarab kuwasiaidia wkt mmeyataka wenyewe


Uzuri siku hz wanawachaacha mtesekee wao wanajenga nchi zao
Uanze Leo Leo Kwa Jirani yako WA karibu zaidi aliye mzanzibari
 
je zanzibar inafuata sharia au katiba ? kama katiba je inatambua au kuwapa uhuru wa kuhukumu hao raia ? je nini kaz ya mahakama huko Zenji ?


Tukienda hv itafika siku na huku bara tutakuwa na taratibu zetu wakristu , je mtakaa kimyaa ?

Waislam wana kaujinga fulani hv huwa hawafikirii wakifanyiwa wao kama itakuwa sw , nliona humu wakishangilia seleka kuua wakristu wenye nchi huko CAR ila baadae raia walipojiunga na kujibu mapigo bas waislam wakaanza lia lia kila kona ya dunia pia tuliona huko middle east , hata Burma etc WAISLAM MPENDE KUYATIZAMA MAMBO KTK SURA MBILI
Wana mahakama na Hizo sheria pia Zipo mkuu na ndo maana Polisi wamekamata wanaokula mchana na Wanafikishwa mahakamani na pia ..

Ni wakati wa kujua sasa kwamba zanzibar Ni nchi nyingine na Muwaache maana wana utaratibu wao mpaka wakisheria....


Na pia kuna Hoteli ya Kitalii Imelisha Watalii mchana Imechezea Faini ya 500$ ambayo ni sawa na Tsh 1.2 Milion..
Hiyo inamaana hivi vitu vipo kisheria..
Unafahamu zanzibar wana katiba yao na sheria zao??


20240329_085517.jpg

Screenshot_20240329_085654_X.jpg


Unafikri POLISI HUKO.ZANZIBAR WAMECHANGANYIKIWA???

 
Not the same..
Ngoja nikupe mfano..
AMERICAN get Independence on July 4, 1776...

But AMERICAN revolution Was in 1765...

So are you follow??

The bristish Revolution was 1688..
But the British got Independence from The Roman Empire in 4th century
Masultan wa Zanzibar hawakutoa Uhuru kwa Mtu Mweusi huko Visiiwani, ni Mwingereza aliwashiniikiza kukubaliana ili Usultani ubaki na kuwe na Waziri Mkuu British Style.

Waafrika wakaamua kuchukua UHURU kwa kutumia Mapinduzi.

Ni kama Mapinduzi ya HAITI na ni UHURU hapo hapo.
 
Wana mahakama na Hizo sheria pia Zipo mkuu na ndo maana Polisi wamekamata wanaokula mchana na Wanafikishwa mahakamani na pia ..

Ni wakati wa kujua sasa kwamba zanzibar Ni nchi nyingine na Muwaache maana wana utaratibu wao mpaka wakisheria....


Na pia kuna Hoteli ya Kitalii Imelisha Watalii mchana Imechezea Faini ya 500$ ambayo ni sawa na Tsh 1.2 Milion..
Hiyo inamaana hivi vitu vipo kisheria..
Unafahamu zanzibar wana katiba yao na sheria zao??


View attachment 2948237
View attachment 2948241

Unafikri POLISI HUKO.ZANZIBAR WAMECHANGANYIKIWA???

View attachment 2948242
O level kwenye civics tunasoma union and non union matters. Inaonesha tukishafanya Necta tunashau vyote.
Watanganyika wenzangu, hata pale US different states different rules.
 
Ipitishwe kura ya maoni muungano tuamue tena kuhusu muungano, ninkama tuliwekwa kifungoni bila kujua
 
Masultan wa Zanzibar hawakutoa Uhuru kwa Mtu Mweusi huko Visiiwani ni Mwingereza aliwashiniikiza kukubaliana ili Usultani ubaki na kuwe na Waziri Mkuu British Style.

Waafrika wakaamua kuchukua UHURU kwa kutumia Mapinduzi.

Ni kama Mapinduzi ya HAITI na ni UHURU hapo hapo.
Sasa watoe uhuru Upi na uhuru ulipatikana kutoka kwa Wareno???
 
O level kwenye civics tunasoma union and non union matters. Inaonesha tukishafanya Necta tunashau vyote.
Watanganyika wenzangu, hata pale US different states different rules.
Safi sana Mkuu!
Unajua kuwa watu wanafikiri Kwakuwa tumeungana bhasi zanzibar Ni kama Mwanza au Dodoma au singida..
Kuna mambo ya Muungano na Mambo yasiyo ya Muungano
 
Hivi Kuna Alie kamatwa kwa sababu ya kula mchana kipind Cha kwaresma..!!?

Kusema ukweli na kwa maoni yangu binafsi MUUNGANO Uvunjwe kwa na sijui ni kwanini tuna wang'ang'ania hawa jamaa wakati wao hawatupendi..!?
 
Back
Top Bottom