TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

Zanzibar ilitoka katika mikono ya Kikoloni mwaka 1800s Ambayo ailikuwa chini ya wareno Ilipopata Uhuru ikawa chini ya Utawala wa Kisultani yaani kidini....

Buta for simple information On December 10, 1963, Zanzibar achieved independence as a member of the Commonwealth.Maana commonwealth walitaka nchi zijitawale zenyewe kama Republic..

Na ukumbuke ilikuwa chini ya , Sayyid Jamshid ibn Abdullah
 
Mkuu una umri gani?!
 
Hili hoja imebebwa na Wakristo. Je alieadhibiwa alikuwa Mkristo?
Zanzibar Wana Katiba yao na wanataratibu zao za kuishi. Sheria inasema wazi hairusiwi kula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhani.
 
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
Bora useme mzee ,maana ni sawa kuleta umuhimu kweny maisha ya watu...Hizo ni sheria za miaka kibao huko.

Nafikiria watanzania wengi bado hatuna exposure kujua tamaduni tofauti,mimi ni muislamu ila hiyo sheria sio applicable huku kwenyu bara yaani hata Tanga ,lindi ,mtwara ,pwani ni kosa.


Kuna jamaa aliniambia aliwekwa kizuizini airport singapore kwa alikuwa na Big G kadhaa kweny begi lake...Alilipa fine.
 
Una umri gani?!
 
Mkuu una umri gani?!
ile ya maana na muhimu zaid ni kuzingatia mafundisho katika familia na dini jinsi ya kuzingatia au kujisitiri na chakula nyakati muhimu za kufunga mathalani kwaresma na ramadhani 🌹

ukizingatia malezi ya kinunda kutoka huko mtaani, ukileta ulimbukeni au mazoea kwenye ustaarabu wa watu utarekebishwa na kusahihishwa vizuri sana bila kuchekewa wala kuhurumiwa na yeyote 🐒

kua mustarabu ishi kwa kustaarabuka 🐒
 
Kweli Hussein Mwinyi ni mdini, mbona babake hakuwa km yeye? Tulitegemea ye ndiyo angekuwa mstaarabu zaidi kumbe hovyo kabisa. Mtu hata ungesoma vp dini yaweza kukufanya zezeta. Ndiyo maana yule waziri wa utalii alijiuzulu
 
Ama kweli mjinga ni mjinga tu
 
Hasa hasa mwambie Askofu Malasusa
 
Nyuma ya haya yote ukifuatilia kwa makini ni suala la muungano .

Ndio maana wakiwa wanawachapa utawasikia "Hapa sio bara yakhee".

Suluhisho la hii kero ni kuvunja muungano.
 
Tangu huyu mama aingie madarakani Zanziber ni kama imepata nguvu ya kidini zaidi, nguvu ya ubaguzi na hawajawahi kukemewa. Kamama na huyo Mzenji mwenzie madarakani ni Wadini na wabaguzi. Katiba mbovu imetupa mtawala mbovu.
 
Ni kweli lkabisa mkuu wengi wanaoshabikia Ni wale walizaliwa namtumbo wakakulia namtumbo wakapata kazi Mtwala..

Hawana exposure hata ya hapa tu kenya au Kwenye nchi zingine..

Kuna Local Authority kibao kwa mfano sheria za Florida sio sawa na sheria za New Mexico au Texas
 
Ama kweli mjinga ni mjinga tu
Mkuu Tangu mwanzo sijaona Point yako ya Msingi yoyote unayotoa Zaidi ya Matusi na Kejeli nafikiri Sasa unajua kati yangu mimi na mjinga nani anastahili..
Tatizo hamsomi na hata kushughulika kujua hamtaki ,Sheria hamjui na hata kushughulika kujua hamtaki halafu bado mnakaa kubishana..

Lazma uishie kutukana badala ya kujibu hoja we unafikiri Maneno ya kujibu utayapata wapi🤣🤣

Wagiriki wanasema...

"Ηλίθιος πάντα ηλίθιος, ακόμα και αν προσπαθήσει να παρουσιαστεί διαφορετικά από αυτό που είναι;"

"Ilíthios pánda ilíthios, akóma kai an prospathísei na parousiastí diforetiká apó aftó pou íne"

"imbacile alwayz imbacile even if he try to put on another on what He is"
 
Nilimuona kwenye luninga kwenye mashindano ya kurani hapo dar es salama
 
Imenoga Sana hapo kwenye kigiriki Cha kale 😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…