Usindishe. Wewe na na masskofu wa katoliki waliolaani tamko la papa nani mjuvi wa mambo kumshinda mwenzake? Ukatoliki na ushoga ni ndugu.Huo upuuzi sijui mnauokotaga wapi hahahaaa umeshajazwa kwenye mfumo hasi. Pope alichosema kanisa katoliki linspaswa kuwapokea mashoga kanisa ni kwani ni watoto wa Mungu. Kama wachawi, majambazi na wabakaji wanapikelewa na kupewa na nafasi ya kutubu, why mashoga watengwe? Huo ndio mtizamo wa pope aliouweka wazi. See the difference?