TECNO yatangaza teknolojia mpya ya RGBW camera sensor + glass ambayo imetengenezwa kwa ushirikiano na Samsung kwenye mfululizo wake wa CAMON 19

Kila mtu hutumia kile apendacho PUNGUZA MAJIGAMBO.

Una wadharau ili iweje sasa.

Kuna vingii unatumia wenzako hawavitaki, na wao WAKUDHARAU?

#YNWA
Of course, hata mimi kama natumia kitu cha kijinga mtu akinidharau mi sawa tu. Ila ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Tecno itabaki kuwa techno tu na ina watu wake
 
Mie dharau sipendi, ila [emoji28][emoji28] kwamba mtu anatumia tecno kwa kuipenda??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mtu anasema wazi kuwa anapenda tecno
 

Jichunguze mkuu, kuna sehemu una tatizo ila wewe hujui. Yaani uache Samsung akachuke tekno? Au wew ni msukuma?
 
Amen.
Au unataka dunia nzima iamini kwenye Imani yako?
Lako likiwa sahihi unataka Liwe sahihi kwa wote?

Sijaona shida yoyote.

Huoni wewe ndio una tatizo la dharau na kuji "mwambafai"??

#YNWA
Mkuu mimi siyo mtu wa kijitweza, labda kama huniui
 
Watu wengi hawaelewi haya mambo.
Naweza kuwa na Iphone lakini imetokea tu Sina upepo nazo, Hali kadhalika Samsung. Nilikua na A5 toleo la awali Kwa vile nilipewa kazini.

Binafsi nikawa na Tecno Kisha Infinix na ambayo niliipenda sana Hadi ilipopasuka kioo ( nimeitumia miaka mitatu) ndio nikahamia Oppo Reno 6 5G. Kwa ufupi hua siangalii watu wanatumia nini au wanasemaje kuhusu nnachotumia, najali kuridhika na maamuzi yangu.

Katika hayo yote, siwezi mdharau mtu Kwa kitu anachotumia, maamuzi na chaguzi zinatofautiana.
 
Hiyo Ni Samsung s8 plus

Ni Snapdragon Version, Snapdragon 835

Model ni SM-N955U kwa maana ya kwamba ni Unlocked ya USA.

64GB

Waterproof

Simu bado inangaa kama inavyoonekana pichani.

Nipe offer yako.
 
Hii simu nzuri sana ukiwa na mishe zako hapa hapa town jioni uko zako home unaichaji lakini kwa mimi mtu wa safari safari hii hainifai itanikosesha madili sababu ya chaji itabidi nitafute li A series lolote lenye low display quality na battery la mAh 5000 au 6000 mpaka 7000
 
Hiyo simu inakaa na charge mzee.

Ukiambiwa Samsung s8 plus siyo sawa na S8 plus ya Exynos uwe unaelewa.

Hizo ni simu mbili tofauti.

Nimetoka nayo home asubuhi saa moja ikiwa na 88% saiv nmefika home ina 13%.

 
Halafu simu zote za Samsung zina option ya kupunguza display quality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…