TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

Ukitulia 'Kiumakini' sana na hasa ukijikita katika Suala zima la Yeye kuwepo huko nyuma kama Mjumbe wa iliyokuwa Bodi ya Utalii ambayo imekuwa na 'Kashfa' kadhaa za 'Ubadhirifu' Mchora Ramani Mkuu wa 'Msiba' huu wa ghafla si ngumu Kujulikana.

Samahani kidogo natoka nje ya Mada hapa eti 'Kuwekeza' Kati ya Nzega Mkoani Tabora na Kahama Mkoani Shinyanga ni wapi unaweza kupata Faida Kubwa?

Natamani sana 'Kuwekeza' hasa Nzega.
 
Ukisema inasaidia nini?
What is nyumba bwana!!
Wewe una miliki nini?
Hauna akili ili mradi nawe uchangie jumba alilloliacha naamini kabisa mpaka kizazi hiki kinafutika hakuna ukoo wenu anayeweza kumiliki jumba lake. Nina miliki kibanda ambacho wewe pia haiwezi kumiliki hiki kibanda changu.
 
Duuh Mungu noma.

Ndo maana sitaki kujitesa, ili nitajirike[emoji848]
Inategemea na kipato huyu alikuwa na kipato haswa hizi mechi kubwakubwa za ulaya alikuwa anaenda kama unavyoenda Buzza. Kuna siku za uhai wake nilimfiata kuomba kazi akiwa Benki ya Posta akiniambia anaenda Madrid kuangalia mchezo kati ya Barca na Real Madrid. Nikasema haya ndugu maana wengine tumezoea Gwambina na Namungo. Hela ikikutembelea hauwezi kuwaza ubahili ama kujinyima
 
Mbn uelewek mkuu
 
Baada ya kurudi hispania vp alikupa ajira
 
Umeandika kama kila mtu anamjua.

Au kupata futari Serena ndio ajulikane na kila mtu?
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28]
Umenichekesha kwenye habari mbaya ya msiba
 
Naskikia katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Muhimbili imeimarika kuliko hospitali yoyote nchini. Nadhani Aga Khan bado inatumiwa kwa sababu ya pride tu kuwa anayekwenda pale ni mtu mwenye hela!

Kuna tafsiri tofauti kwa wagonjwa juu ya hospitali bora na matarajio, hiyo ndiyo inapelekea wenye uwezo wa kuchagua kwenda MNH au Aga Khan.
 
Apumzike kwa Amani Teddy Mapunda.
 
Sikutaka ajira. Kuna kazi nafanya kiasi chake alinipa kazi namshukuru sana japo kazi nyingi alikuwa akiimpa mumewe ambazo zinafanana na ninazofanya mimi. Huyo dada ukisema wanawake matajiri 100 watoka kibongobongo anaweza kiwepo.

Inasikitisha kupoteza bilionea mwanamke Teddy.

Kama kwenye futari walikuwepo watu wa Chama fulani basi wakamatwe hao haraka.
 
Hovyo kabisa,vi Dr vidogo dogo halafu wana ratiba mbovu kweli,wanakwambia Dr atapita saa 2 aku discharge then anakuja kupita saa 5.
Nili uliza kwamba sabubu gani wana charge bill kubwa hivyo?kwa service zipi au ni majengo na mavifaa ambayo hayana watumiaji wazuri.
Aga Khan si Overrated ..
 
Pumzika kwa Amani....Pole kwa wana famalia wote
 
Code nimezifungua. Uko vizuri. Possibly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…