jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Sidhani kama alikuwa na stress, alikuwa anajiweza vizuri tu..RIp Teddy...lakin mbn marehemu atumjui ..alafu inaonekana amekufa kwa stress za maisha...swami ya tano lazma tufe wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama alikuwa na stress, alikuwa anajiweza vizuri tu..RIp Teddy...lakin mbn marehemu atumjui ..alafu inaonekana amekufa kwa stress za maisha...swami ya tano lazma tufe wengi.
Mngejaribu hata pikipiki au hata baiskeli. Matokeo yake mnaleta stori zenye shombo tu. Disgusting![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tulijaribu kuunda nikiwa Engineer Nyumbu....siasa ikaingilia....
mhUliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
Mkuu umebase sana kwenye familia, na taifa je?Familia itam miss sana, ni kwa nguvu zake, maarifa na uwezo aliinyanyua na kuitunza sana, kafanya makubwa kwa familia yake, big loss..
Duh, we muhenga1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
Shkamoo mkubwa1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
Shkamoo mkubwa!!!1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
Teddy ndo alikuwa mzamini mkuu wa kila kitu kwa mdogo wake DeoMbona maelezo mkato sana?
Ungemtambulisha vema Marehemu maana haujaeleweka hapo.
Namfahamu Deo Mwanambilimbi, ingawa kwa sasa sijui amejichimbia wapi, ila huyo Teddy ndio namsikia leo..
Thanks for your marvellous comment. Ungejaribu na wewe hata kutengeneza mdoli. Pathetic...Mngejaribu hata pikipiki au hata baiskeli. Matokeo yake mnaleta stori zenye shombo tu. Disgusting!
Ukishamjua ili iweje?acheni kumchora marehemuPicha basi na sisi tumjue mkuu
Bado sanaa yetu haijawekwa kwny kumbukumbu rasmiTeddy ni mwanaume??
Alikuwa anajihusisha na sanaa gani? Hapa watoto wengi
Kaka yetu...Rafiki yetu...Mshauri wetu.Hatuna mengi ya kusema bali kukuombea nafsi yako huko ilipo nasi sote duniani ni mapito.Upumzike kwa amani
Pole nyingi kwa wanafamilia wa Mzee Mwanambilimbi.wadogo zako na wanao pia shemeji yetu
Ok, kumbe ndiye alikuwa nyuma ya pazia, ila Deo aliibuka vizuri mara ghafla akapotea.Teddy ndo alikuwa mzamini mkuu wa kila kitu kwa mdogo wake Deo
Ok, kumbe ndiye alikuwa nyuma ya pazia, ila Deo aliibuka vizuri mara ghafla akapotea.
RIP Kaka wa Deo.
Najua yupo na bendi yake ya Kalunde, ila namaanisha hajatoa hit tena kama ile "siwezi sema kwa nini, niliachana na yeye"Mbona Deo yupo anaimba bado siku zingine na pia kajiweka ktk biashara zake kizaidi mkoani.