Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
BOT yuko mdogo wake anaitwa Linus Mwanambilimbi
Kwa hiyo familia yao wote walikuwa watu wa mchundo? Huyu alisoma Telecoms pale DIT!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BOT yuko mdogo wake anaitwa Linus Mwanambilimbi
Wazee wenyewe siku hizi wanashinda wanacheki shilawadu na kuwaza upigaji wa katerero tu.Nawish sana wawe wanatupa mafunzo ya maisha haswa haya ya kitanzania ili vijana tujipange vyema taratibu kwa manufaa ya kesho [emoji1433][emoji1433][emoji1433]
Deo naye ana mambo mengi mno ndo shida iko hapo.Ok, kumbe ndiye alikuwa nyuma ya pazia, ila Deo aliibuka vizuri mara ghafla akapotea.
RIP Kaka wa Deo.
dah nimecheka sana japo tupo msibani.mbona hamjaunda gari mzee! weka vitu mzee
wala siyo watani, mtu anaposema yeye ni automobile engineer, unategemea clue ya kuunda gari nchini or something of that nature..................... 1987 todate hakuna clue!dah nimecheka sana japo tupo msibani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe bila shaka kabila lako litakuwa na utani wa kijadi na kabila la marehemu.
Tehehehehehehe nilihisi kitu kama hiki kitatokeaNa mama yako
Teddy Mungu amlaze mahali pema peponi. Huyu jamaa alikuwa anafanyakazi IkuluWapenzi wa Sanaa kama mnamjua mtu social Kaka yetu Teddy Mwanambilimbi kaka yake Deo Mwanambilimbi ametutoka na hatunaye tena.
Bwana ametoa Bwana ametwa, Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un ![emoji24] [emoji24] [emoji24]
![]()
acha kitokee rafiki, watu wanaudhi, huyu mtu ananiudhi. I am ready to face any consequences, lakini nina browser kama tano hapa na some few IDs, and my wife's, kid's if needs to be, surely I, will not be incommunicado! After all, I can do without JF anyway!Tehehehehehehe nilihisi kitu kama hiki kitatokea
Mkuu shkamoo1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
Wanasiasa walisema wana inject Fund hawaoni Gari. Walitaka liwe commercialized mapema....as if una unda Trailler
ulifanikiwa kuunda hata toroli? ahahaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tulijaribu kuunda nikiwa Engineer Nyumbu....siasa ikaingilia....
Sasa Mkuu wewe Ni graduate wa UD 1985 lakini ujenzi wako wa hoja Ni Kama wa graduate wa pale Ustawi wa Jamii SinzaUliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
Rest in eternal peace Teddy, long way back we were close buddies akiwa Arusha tech. Such a charming personality, sad news.Wapenzi wa Sanaa kama mnamjua mtu social Kaka yetu Teddy Mwanambilimbi kaka yake Deo Mwanambilimbi ametutoka na hatunaye tena.
Bwana ametoa Bwana ametwa, Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un ![emoji24] [emoji24] [emoji24]
![]()
Marehemu alisoma pia NIT course ya Transport Management. Ndio maana alikaa sana Ikulu kama Transport officer. Mdogo wake Linus ni kweli alikuwa na FTC ya Telecom. Baadaye alichukua Advanced Diploma ya Telecoms hapo hapo DITKwa hiyo familia yao wote walikuwa watu wa mchundo? Huyu alisoma Telecoms pale DIT!
Nani zama hizi anaweza kukataa uteuziKosa la mteuliwa kukubali uteuzi
Marehemu alikuwa intake ya 1987-90(Auto mechanics).Arusha Tech? Mwaka gani mkuu?
Daah wako vizuri saana , nafikiri mzazi wao atakuwa anajua umuhimu wa technical collegeKwa hiyo familia yao wote walikuwa watu wa mchundo? Huyu alisoma Telecoms pale DIT!
Pole sana mkuu. Naona ni balehe na ujuaji mwingi, ndio vinasumbua wakati mwingine.acha kitokee rafiki, watu wanaudhi, huyu mtu ananiudhi. I am ready to face any consequences, lakini nina browser kama tano hapa na some few IDs, and my wife's, kid's if needs to be, surely I, will not be incommunicado! After all, I can do without JF anyway!