Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji106][emoji106][emoji106]You are real a Retired. In fact during Nyerere's era Nyumbu was substantially supported financially by the Government for R&D activities. His death left Nyumba as Yatima.....
Exactly, next time I will ignore him/herPole sana mkuu. Naona ni balehe na ujuaji mwingi, ndio vinasumbua wakati mwingine.
Guys let us be patient if not humble even for a minutes, huu ni uzi wa msiba. Hayo mengine ya ujuzi na tulifanya nini au kwanini hatukufanya kipindi chote hicho, yaje yatafutiwe uzi wake ila sio huu.Mngejaribu hata pikipiki au hata baiskeli. Matokeo yake mnaleta stori zenye shombo tu. Disgusting!
Thanks for your marvellous comment. Ungejaribu na wewe hata kutengeneza mdoli. Pathetic...
Duu..heshima yako mkuu...Uliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
hata kijiko mlishindwa kuunda ,mmetusikitisha kuliko ya marehemu mkuu? anzisheni huo uzi tuje tuwalaumu huko huko maana hatukubaliGuys let us be patient if not humble even for a minutes, huu ni uzi wa msiba. Hayo mengine ya ujuzi na tulifanya nini au kwanini hatukufanya kipindi chote hicho, yaje yatafutiwe uzi wake ila sio huu.
aiseee kwahiyo huwa mnakatazwa msifanye hayo mambo ya ugunduzi ..??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tulijaribu kuunda nikiwa Engineer Nyumbu....siasa ikaingilia....
Wewe hiyo ni philosophy ya kihaya, not universal! (Eibara libi lita nyinalyo)Jina Baya umponza mwenye nalo utaitaje kiwanda Nyumbu kwanza ethics za nyumbu kwanza!!....hivyo kiwanda kingekufa mambo ya kujifanya uzalendo na kutukuza mbuga ni upofu.
Gari la Nyumbu liliundwa na kutumika Jeshini tu. Kumbuka Nyumbu project ulikuwa ni mradi ndani ya JWTZulifanikiwa kuunda hata toroli? ahahaaa
Kama anavyojenga hoja huyo aliyekuzaa, maana ndiye aliyenifundishaSasa Mkuu wewe Ni graduate wa UD 1985 lakini ujenzi wako wa hoja Ni Kama wa graduate wa pale Ustawi wa Jamii Sinza
darasa la 1987Dah mimi niko Darasa La Tano A
ooh so mliunda gari? mliunda moja tu?Gari la Nyumbu liliundwa na kutumika Jeshini tu. Kumbuka Nyumbu project ulikuwa ni mradi ndani ya JWTZ
Vp hata picha hakuna mkuu?!Wapenzi wa Sanaa kama mnamjua mtu social Kaka yetu Teddy Mwanambilimbi kaka yake Deo Mwanambilimbi ametutoka na hatunaye tena.
Bwana ametoa Bwana ametwa, Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un ![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Ulikuwa Arusha Tech. Mwaka gani?Rest in eternal peace Teddy, long way back we were close buddies akiwa Arusha tech. Such a charming personality, sad news.
Hahaha, haya mama ngoja tuone ninyi mtakao tengeneza ndege, tena uzuri ndio mpo ndani ya sera mujarabu na muda muafaka.. Hivi imebaki miaka mingapi tukitoa 5 au 10?hata kijiko mlishindwa kuunda ,mmetusikitisha kuliko ya marehemu mkuu? anzisheni huo uzi tuje tuwalaumu huko huko maana hatukubali
Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja...Marehemu alikuwa intake ya 1987-90(Auto mechanics).
mlikula tu miamala ya serikali output ziroHahaha, haya mama ngoja tuone ninyi mtakao tengeneza ndege, tena uzuri ndio mpo ndani ya sera mujarabu na muda muafaka.. Hivi imebaki miaka mingapi tukitoa 5 au 10?
You are heading to that direction labda kama unaomba usifike huko!darasa la 1987
daaah nawewe utakuwa umekula chumvi nyingi aisee ..wakati huo. haijulikani nitazaliwa lini
Dah nimecheka sana .....Vipi mzee wako naye anawaza upigaji wa katereroWazee wenyewe siku hizi wanashinda wanacheki shilawadu na kuwaza upigaji wa katerero tu.
Hahah wazee wengi siku hizi hayo ndo mawazo yao mkuu.Dah nimecheka sana .....Vipi mzee wako naye anawaza upigaji wa katerero