TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

Status
Not open for further replies.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji106][emoji106][emoji106]You are real a Retired. In fact during Nyerere's era Nyumbu was substantially supported financially by the Government for R&D activities. His death left Nyumba as Yatima.....

Kuna swala nimejifunza hapa (shukrani) ningependa hata kuwepo uzi kuhusu hili kutoka kwa wazoefu namna hii.

Pia shikamo! [emoji1538] maana bila shaka umenipita mbali kiumri pia.
 
Mngejaribu hata pikipiki au hata baiskeli. Matokeo yake mnaleta stori zenye shombo tu. Disgusting!
Guys let us be patient if not humble even for a minutes, huu ni uzi wa msiba. Hayo mengine ya ujuzi na tulifanya nini au kwanini hatukufanya kipindi chote hicho, yaje yatafutiwe uzi wake ila sio huu.
Thanks for your marvellous comment. Ungejaribu na wewe hata kutengeneza mdoli. Pathetic...
 
Guys let us be patient if not humble even for a minutes, huu ni uzi wa msiba. Hayo mengine ya ujuzi na tulifanya nini au kwanini hatukufanya kipindi chote hicho, yaje yatafutiwe uzi wake ila sio huu.
hata kijiko mlishindwa kuunda ,mmetusikitisha kuliko ya marehemu mkuu? anzisheni huo uzi tuje tuwalaumu huko huko maana hatukubali
 
Jina Baya umponza mwenye nalo utaitaje kiwanda Nyumbu kwanza ethics za nyumbu kwanza!!....hivyo kiwanda kingekufa mambo ya kujifanya uzalendo na kutukuza mbuga ni upofu.
Wewe hiyo ni philosophy ya kihaya, not universal! (Eibara libi lita nyinalyo)
 
Wapenzi wa Sanaa kama mnamjua mtu social Kaka yetu Teddy Mwanambilimbi kaka yake Deo Mwanambilimbi ametutoka na hatunaye tena.

Bwana ametoa Bwana ametwa, Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un ![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Vp hata picha hakuna mkuu?!
 
hata kijiko mlishindwa kuunda ,mmetusikitisha kuliko ya marehemu mkuu? anzisheni huo uzi tuje tuwalaumu huko huko maana hatukubali
Hahaha, haya mama ngoja tuone ninyi mtakao tengeneza ndege, tena uzuri ndio mpo ndani ya sera mujarabu na muda muafaka.. Hivi imebaki miaka mingapi tukitoa 5 au 10?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom