Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

TBC hawana Nidham wala weledi

TBC haiheshimu watanzania

TBC imekosa maana na staha kuitwa ya taifa

Wajinga sana hao.
Bosi wako kaenda kuwapigia magoti.

Kasuku kama wewe hamtuhangaishi wala kutustua
 
Binafsi wala nisifiche sijakubaliana kabisa na hii 'Suluhu' yao na tena nilitaka 'Chuki' baina yao izidi na ikiwezekana hata waje Kukatana na Mapanga.
 
Si mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?
Umeona wapi katika maelezo TBC wameombwa msamahama!Wakileta upuuzi tena wanafukuzwa!Hujaona Ryoba kakiri kuwa hawakuwa sahihi kwa kile walichokifanya?
 
Umeona wapi katika maelezo TBC wameombwa msamahama!Wakileta upuuzi tena wanafukuzwa!Hujaona Ryoba kakiri kuwa hawakuwa sahihi kwa kile walichokifanya?
Mkuu poleni kuna mgombea wasaccos amejitoa na CCM imepita bila kupingwa!
 
TBC waendelee tu kumnadi mgombea wao wa CCM sisi tutajinadi kama ilivyokuwa kwa miaka 5 yote. Wala hatuna nongwa nao
 
CHADEMA MNAIHITAJI SANA TBC KULIKO TBC INVYOWAHITAJI CHADEMA. kwa wenye akili kubwa pekee mtaelewa hii
Hatukuhitaji kwa muda wa miaka mitano na hatujapoteza chochote wao waendelee na JPm na CCM yao. Mambo yetu hayawahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…