Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Hata wangekuwepo wao wangekuwa waathirika wa kwanza. Uchawi kama ningeweza ningeuzamisha chini ya chini kabisa ya bahari usionekane tena. Atakayeufuata akae huko huko
 
Kule Mtwara ukifumwa na mke wa mtu jamaa anakuomba nguo ya ndani tu alafu anakwambia we nenda tu.Huu uchawi gani Cc mshana jr
 
Na hapa ndio linapokuja tatizo linalofanya kusiwe na ndoa siku hizi. Wanawake wanataka kulingana na wanaume kwa kila kitu. Kuna siku tutatakiwa tusaidie kubeba mimba. Lakini mbona hamuombi haki ya kuolewa na wanaume wawili?
Hiyo kitu wameomba kupitia kwa mwandishi Theobald mvungi,,, """ktabu cha mashair ya chungu tamu "
 
Mimi nina ujuwa mtego wa kumfunga mwanamke akichepuka yule mwanamme anaye chepuka nae uume wake unakufa hauwezi kuingia ndani ya Papuchi. Na mtego mwengine mke akichepuka na Mwanamme basi yule mwanamme anakufa lakini sifanyi kabisa ni dhambi kwa Mungu. Na vifungo vingi vya kuwafunga wake zetu wasiweze kuchepuka pasipo na madhara ninavijuwa. Kumuinamisha mke kwa mume au mume malaya kumtuliza awe kama kondoo kwa mke wake vyote hivyo ninavijuwa.
 
Hata wangekuwepo wao wangekuwa waathirika wa kwanza. Uchawi kama ningeweza ningeuzamisha chini ya chini kabisa ya bahari usionekane tena. Atakayeufuata akae huko huko
Kingetokea kingine kibaya zaidi
 
Mmmmh hii kali
 
Wanaume tuko waoga sana kugededewa sijui wanawake wao hawana hofu ya watu wao kugegeda kwingine,je wanawake walikuwa hawawategi watu wao
Mkuu; Wanawake inasemekana ni hatari sana kwa LIMBWATA. We mwanaume utazunguka-zunguka hapo home hutoki kwenda kwingine unamuona yeye tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…