Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Wana subsidy lazima waongoze kwa sababu wanauza bei Chee mbona mnakua wagumu kuelewa
Kwa ubora hawawafikii Nokia au samsung na angalia Nokia na Samsung kwenye granted wamemzid Huawei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana subsidy lazima waongoze kwa sababu wanauza bei Chee mbona mnakua wagumu kuelewa
Weka Ericsson hapo muondoe Samsung.Wana subsidy lazima waongoze kwa sababu wanauza bei Chee mbona mnakua wagumu kuelewa
Kwa ubora hawawafikii Nokia au samsung na angalia Nokia na Samsung kwenye granted wamemzid Huawei
Uko sahihi lakini kwa mambo ambayo yana maelezo ya kisayansi angalau basi linalosemwa lisemwe kwa ushahidi (hata kama haujakamilika) au nadharia zenye mashiko kuliko kutumia uongo ili kuaminisha watu unachoongea ni kweli.
UOMGO mtupu
kwanza hiyo siyo maana ya 5 Generation kila mtu anaingiza kivyake
5G - Wikipedia
halafu kuingiza Dini ndipo ulipoharibu kabisa
jinsi Generation inavyoendelea ndio tunagundua mengi na magonjwa yaliyopo yataonekana sasa
mwishowe mtatuambia 6G ndio mwisho wa Dunia
Sio kweli Huawei ndo anaongoza kwenye 5G huu ni upotoshaji mwingine, Huawei amepewa subsidy na Chinese government matokeo yake anauza vifaa (hardware) za 5 G kwa bei nafuu a.k.a bei ya kutupa
Kinara wa 5G ni Samsung, na Nokia Ila wao gharama zao za hardware ziko juu, ndo maana nchi nyingi Zina prefer Huawei kwa sababu ya unafuu
Sawa, lakini mkuu, hata hii minara ya simu inamadhara makubwa ikiwa unakaa karibu nayo. Sembuse hayo ma 5G?
Lazima yatakuwa na madhara makubwa hata kama madhara hayo hayapelekei mtu kupata Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi. Na walioianzisha hizi nadharia njama sio weusi bali ni weupe. Ila shida kubwa sisi ndio huwa wahanga wa kila kitu maana tunameza na kuminishwa kirahisi sana. Mmoja wa wahubiri wa kingereza aliyeenza hili jambo, yeye alikua anasisitiza kabisa ana interest na Africa maana nadhani ndio ameona anaamika kirahisiNdugu yangu, si weusi tu, wengi wa hawa 5G Conspiracy Theorists ni weupe...
5G Conspiracy Theorists Are Using Fears About The Coronavirus To Make Money
For $350, they’ll sell you a USB stick they claim protects you from harmful 5G radiation and prevents infection from the coronavirus. (It doesn't.)
Teknolojia ya 5G inahitaji uwekezaji mkubwa wa miundombinu mipya ya mawasiliano kwa sababu inalazimisha kubadilisha ile iliyoko kwa sehemu kubwa. Hadi sasa kuna takribani nchi 35 (nyingi zikiwa tajiri) ambazo tayari zina miundombinu ya 5G na bado inajengwa. Ufungaji wa miundombinu hii kwa nchi nyingi umeanza mwaka 2019.dennis_robert namba nisaidie kunionesha ni mstari upi uliosoma kwenye maandishi yangu unaosema Huawei wanaongoza kwenye 5G. Nimeutafuta sijauona
Teknolojia ya 5G inahitaji uwekezaji mkubwa wa miundombinu mipya ya mawasiliano kwa sababu inalazimisha kubadilisha ile iliyoko kwa sehemu kubwa. Hadi sasa kuna takribani nchi 35 (nyingi zikiwa tajiri) ambazo tayari zina miundombinu ya 5G na bado inajengwa. Ufungaji wa miundombinu hii kwa nchi nyingi umeanza mwaka 2019.
Nchi zinazoongoza kuwa na miundombinu ya 5G kwenye miji mingi ni South Korea, China, na Marekani. Kwa miaka kama 2 iliyopita, utakua umesikia siasa za 5G kati ya mataifa makubwa hasa Marekani, Uingereza na China. Hii imetokana na ukweli kwamba kampuni ya
Huawei ya China imekua mbele hatua kadhaa kitkiteknologia na kuzifanya nchi nyingi zikiwemo za Magharibi kutumia teknolojia zake
Soma hayo maandishi niliyooigia mstari ambayo wewe umeandika mbele maana yake anaongoza
Sina uhakika na data zako ila kama umetumia zinazotumiwa na wataalamu wa hadharia njama, watakua wamekuingiza chaka maana wanadai kwamba Italy ndio nchi inayoongoza kwa 5g netowork na ndio mana ina wagonjwa wengi.
Samahani kwa kutokuelewa, lakin waingereza na nchi nyingine wanataka kutumia Huawei kwa sababu iko cheap, na pia watatumia mitambo ya Huawei 5g sio kwenye core parts of their telecoms networksNdugu dennis_robert , wewe umetafsiri kitu ulivyotaka kisha utumie tafsiri yako kuniita mwongo. Sio sawa.
Sina hakika umetumia methodolojia gani kutafsiri ila kusema iko mbele kiteknolojia maana yake sio sawa na kusema "kuongoza kwenye 5G". Hakuna ubishi Huawei iko mbele kiteknoljia (sio kwa 5G pekee maana 5G ni teknolojia hivyo haimilikiwi na mtu au kampuni moja). Wana teknolojia nyingi zinazotumiwa na nchi nyingi duniani kuanzia kwenye simu hadi mufumo ya usalama wa nchi. Hivyo, kua mbele nilivyoitumia mimi ni tofauti na tafsiri yako.
Pili, nadhani mada kuu ya huu mjadala sio kufananisha nani anaongoza 5G na ndio mana hakuna mahali nimefananisha makampuni. Sababu ya kuitaja Huawei hapo ni kugusia tu mgogoro wa 5G baada ya Marekani kuona Huawei wanawazidi nguvu kwa mitambo yao. Wametumiwa na nchi nyingi za Ulaya kuwafungia teknolojia nyingi ikiwa ni pamoja 5G. Majuzi Uingereza wameipa kazi hiyohiyo pamoja na kupingwa na Marekani na hoja iliyotumika sio ughali wala urahisi wa huduma bali ni uwezo wao. Sasa nakuachia uhukumu mwenyewe iwapo inastahili kuambiwa iko mbele, nyuma au katikati.
Sina uhakika na data zako ila kama umetumia zinazotumiwa na wataalamu wa hadharia njama, watakua wamekuingiza chaka maana wanadai kwamba Italy ndio nchi inayoongoza kwa 5g netowork na ndio mana ina wagonjwa wengi.
Ili tuweze kujibu hili swali objectively na sio kinadharia njama, labda tungeweka hapa zata zinazoonesha coverages ya 5G kwa kila nchi na zinazoonesha maambukizi ya Covid-19 halafu tupime.Halafu tusiishie hapo bali tupige hatua mbele tutazame nchi ambazo hazina 5G tulinganishe na data zake za Covid-19 halafu tujiulize zinapataje maambukizi ya Covid-19 wakati hazina 5G networks.