#COVID19 Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

#COVID19 Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

Mathew Togolani Mndeme ninayemfahamu, yeye mwenyewe na dini ni pipa na mfuniko, muda wowote anakuchapa injili. Hapa kaandika akiwa anaijua dini vilivyo. Niishie tu kwa kusema, Ahsante kwa kutoa elimu hii.
 
mtingi1 uko sahihi. Kwenye uchambuzi wangu nimeeleza hilo kwa uwazi kabisa kwamba kuna uwezekano 5G ikawa na madhara kama teknolojia zilizomtangulia. Ila tunachokosa ni ushahidi wa aina gani ya madhara. Hiyo kusema lazima ina madhara zaidi ya zilizotangulia ndipo tatizo linapoanzia maana hatujui ni kigezo gani kinatumika kupata huo ulazima. Kuna uwezakano mkubwa kabisa teknolojia mpya ikawa salama kuliko iliyotangulia na hili liko kwenye gunduzi nyingi sio za mawasiliano pekee.
Sasa mkuu unapinga bila kuthibitisha bila shaka uongo wa YASEMWAYO utafiti wowote unaanzia kwenye doubts hapa ndiyo tunaanza ku-develop hypothesis, kwasasa wacha tuendelee kufuatilia hizi tuhuma na tuzichukulie kama ukweli otherwise watoa huduma/wavumbuzi wafafanue kinyume chake. Cha ajabu wao wavumbuzi wako kimya why wasijitokeze kufafanua ukweli hasa ni upi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu unapinga bila kuthibitisha bila shaka uongo wa YASEMWAYO utafiti wowote unaanzia kwenye doubts hapa ndiyo tunaanza ku-develop hypothesis, kwasasa wacha tuendelee kufuatilia hizi tuhuma na tuzichukulie kama ukweli otherwise watoa huduma/wavumbuzi wafafanue kinyume chake. Cha ajabu wao wavumbuzi wako kimya why wasijitokeze kufafanua ukweli hasa ni upi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndugu bigmind,

Kitu ambacho huenda wewe na wengine wengi walioaminishwa nadharia njama ya 5G na Covid-19 hamukijui, ni ukweli kwamba mjadala wa madhara ya 5G haujaanza leo wala jana. Imekua ikijaribiwa kwa miaka kadhaa sasa na ndio mana nchi ziliozoanza kuweka miundombinu zimeanza mwaka jana . Kama zilivyo teknolojia mpya au gunduzi zozote zile, zinakabiliana na scrutiny kali ya watafiti/wanasayansi kabla au hata baada ya kuanza kutumika. Watafiti wameshaonesha hofu zao siku nyingi kuhusu 5G na wametoa plausible arguments za kwa nini wanadhani kuna 5G inatakiwa kuchukuliwa kwa tahadhari. Watafiti wengi wameshauri serikali zao zisikimbilie kukumbatia teknolojia hii hadi itakapothibitishwa ni salama kwa matumizi. Hawa wamefanya hivyo kwa tafiti za kisayansi na wanaonesha ushahidi wa preliminary results huku wakipendekeza tafiti zaidi kufanyika. Pia hoja zao zimejibiwa na hao unaosema wako kimya. Hizi hizi tahadhari za kizushi kwamba miili inatengeneza virusi.

Sasa hii ni tofauti sana na wanachokifanya waliokuja na nadharia njama ya 5G. Nadharia hii imeanzishwa na daktari mmoja wa Ubelgiji January mwaka huu. Aliandika makala kwenye gazeti bila ushahidi wowote akisema anahisi huenda Covid-19 ina inasababishwa na 5G network (wakati huo mlipuko ulikua bado uko China tu). Makala hiyo ilifutwa na gazeti hilo masaa machache baada ya kuoenaka ni baseless. Ila tayari ilikua imeshasomwa na watu kadhaa na ndipo uvumi ukaanza kusambaa kama moto wa mabua na kudakwa na opportunists wa nadharia njama. Kinachosikitisha, ni watumishi kulishwa tango pori na kulimeza kama lilivyo bila kulichunguza.

Itakua ni ajabu sana iwapo mtu atadai hiki kinachoongelewa na wahubiri wa 5G ni plausible hypothesis inayohitaji attention maana mengi wanayoongea wala sio scientific arguments. Ni uongo wa kutunga na hadithi za kuungaunga. Hii sio approach tunayoitumia ku-develop hypothesis. Ni sawa na mtu aibuke leo aanze kusema joto la dunia limeongezeka kwa sababu tumeweka international space station inazunguka dunia huku akiwa hana hoja yoyote inayosaidia claim yake. Kama kila uongo ukichukuliwa kuwa ni hypothesis basi kazi ya sayansi itakua ngumu sana na ya kujichosha. Hivi kweli wewe unahitaji ushahidi au akili gani kujua kwamba DR Congo hawajaanza kuwapa watu vaccine? Kw ahiyo uongo kama huu tuuite ni hypothesis? Unahitaji akili gani kuona uongo unaodai kwamba watu wanaingiziwa chip ya radio frequency kwa kupitia chanjo ya kinga?

Nimesema kwenye uchambuzi wangu kwamba ni sahihi kuhoji, kuweka mashaka, kuuliza maswali na kubisha au kupinga lakini fanya hivyo kwa evidence na kutumia taarifa sahihi sio za uongo na za kujengea watu hofu. Mimi kama mkristo, nninona aibu kubwa sana kuona watumishi wanasimama madhahubi wanatumia muda mwingi kuongelea 5G kwa hoja za kizushi, uongo na zisizo na scintific evidence yoyote. Ni kazi ya wanaovumisha kuhusu 5G watuambie hiyo sayansi ya mwili kuzalisha virusi wanaoambukizwa imefanyika wapi na lini.

MM Togolani
 
TCRA ni taka taka.

Wako wapi wanamuachia Gwajima anapotosha umma.
Hadi youtube wanafuta mavideo
Clip ya wazushi
 
Hawa wanaojiita manabii sishangai kutumia njia hii kupiga hela za watu, wao ni scammers kama scammer wengine, cha kusikitisha ni kuona watu wazima wengine na elimu zao wamesoma hadi PhD alafu wanaamini upuuzi kama huu unakuta wanapiga magoti kabisa wanalia wanasali mungu asilete 5G. Nyooooko. PhD tupa kule stupid
 
Huyo profesa ni clueless kuhusu madhara ya 5G...jiulize kwanini wanaojenga hiyo minara wanavaa HAZMART SUITS...Sars ilitokea baada ya 3G...Homa ya nguruwe H1N1 ikatokea baada ya 4G kuzinduliwa..saiz tuna corona baada ya kuzinduliwa 5G huko wuhan China mwishoni wa mwaka 2019...Spanish flu ilikuja 1918 baada ya madishi makubwa ya radio frequencies yalipozinduliwa duniani kote..toka nakua mpaka Leo nimeishi na imani kuwa minara ya simu ni hatari..inasababisha cancer ..tulifundishwa kukaa mbali na ile minara ili kuepuka mionzi...hii 5G inataka minara mingi.karibu kila baada ya nyumba kumi utakuta mnara wa 5G...Soo nchi ambazo walikua washaanzisha matumizi ya 5G kama China,Italy,Spain ,Iran nk ndio wanaoongoza kwa corona.jiulize kwanini Africa ambapo hatuna 5G Mbona corona haisambai sana...5G ni Kama silaha ya kijeshi....go do your research mkuu..usitegemee serikali zikuambie ukweli wakati wao wanapush kufanya dunia kuwa kama kijiji kwa gharama ya maisha ya watu
Jiulize kwa nini.
Wakati wa uzinduzi wa 3G kulitokea tetemeko kubwa lililoua watu 20,000.
Michael Jackson alifariki na Satellites za Marekani na Urusi ziligongana pia wakati 4G inazinduliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli Huawei ndo anaongoza kwenye 5G huu ni upotoshaji mwingine, Huawei amepewa subsidy na Chinese government matokeo yake anauza vifaa (hardware) za 5 G kwa bei nafuu a.k.a bei ya kutupa

Kinara wa 5G ni Samsung, na Nokia Ila wao gharama zao za hardware ziko juu, ndo maana nchi nyingi Zina prefer Huawei kwa sababu ya unafuu
Na wewe ni mwongo hujui kinacho endelea
 
Mimi sio muumini wa hii conspiracy theory, na ninaichukia sana. Lakini, hoja ulizojenga ku-refute madai yao nyingi (kama sio zote) hazina mashiko.
 
Funny thing is half of these tinfoil hat wearing idiots have a microwave oven at home and don't mind exposing their food to large amounts of radiation from a microwave oven which let's out more radiation than 5G tech
 
Umechambua na kutoa elimu vizuri kasoro ulipodanganya neno Nadharia njama umelitohoa mwenyewe wakati lipo muda mrefu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Yoda, unadhani nidanganye ili iweje kwa mfano? Nifaidikaje?

Kwenye ujumbe wangu nimekiri sijawahi kujua wala kusikia maana ya conspiracy theory kwa kiswahili.

Nadhani badala ya kusema nimedanganya, ungenijulisha tu kwamba hilo neno lipo hivyo nimebahatisha na kupatia.

MM Togolani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize kwa nini.
Wakati wa uzinduzi wa 3G kulitokea tetemeko kubwa lililoua watu 20,000.
Michael Jackson alifariki na Satellites za Marekani na Urusi ziligongana pia wakati 4G inazinduliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
@Yoda, hizi ndio nadharia njama zenyewe. Zinatafuta kila namna ya kujenga hoja za ajabu kwa lengo la luwaletea watu hofu. Nikuukize maswali.

Moja,nini kinatofuaitisha siky 3G (kama kweli ilikuwepo) ilippzinduliwa na siku zingine za mwaka?

Mbili, kwani kabla ya siku ya kuzindua 3G hakukuwahi kuwa na matetemeko na watu wakafa?

Tatu, hawakuwahi kufa watu maarufu kama Mike Jackson kabla ya hiyo siku?

Nne, Satelite kugongana (kama ni kweli) kunamaanisha nini kwenye nadhania yako?

MM Togilani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very clever...

Publicity stunt and argument diversion... Yes, Electromagnetic waves cannot 'create' semi-live streams ie viruses... But the critical argument is -- is 5G thoroughly safe? IT IS NOT... And 'Corvid19' the moniker for common virus 'Corona'... What about the 'rapid tests' across the world do they 'detect' the virus or symptoms of the cumulus of possible viral infections of which common flu could be one of them?

There are many red flags in the purported 'pandemic'? And why does it instigate the rally for the global possible mandatory vaccine? Anyone who thinks governments and Mainstream media are to be trusted at this juncture is compromised when it comes to common sense... The global population is surely being played out...

There is a time, what goes around and comes around outta the conspiracy theories community could hold grains of truth far better than typical social complacency and believing men of 'position of power' and 'experts' who are doing nothing but exerting status quo -- most of them playing the game of 'monkey see monkey do' -- of careful manipulation of events and narration of the story. And these days, it is well known -- how does it follow when you say to public 'research has found...', 'scientists say...', 'Prof Who of Ivy School says...', 'The Government Official has said...' Well, Governments can be manipulated by the corporate world... People are likely to believe whatever is presented in such fashion.

Why should You or I believe blindly just because the government says or BBC or CNN? We have got to be a progressively discerning society... Our Global Leadership is compromised in many accounts... And this is never--- the first time...

Re:
Infobytes: 5G coronavirus conspiracy theory is dangerous fake nonsense, UK says

A conspiracy theory that links 5G mobile telecommunications masts to the spread of the novel coronavirus is dangerous fake news and completely false, Britain said on Saturday after masts in several parts of the country were torched.

When asked by a reporter about the so called "theory" that 5G telecommunications masts could play a role in the spread of the disease, British Cabinet Officer Minister Michael Gove said: "That is just nonsense, dangerous nonsense as well."
Mobile phone masts have in recent days been vandalised and telecoms staff abused in Birmingham in central England and Merseyside in northern England, damaging connectivity at a time when people are relying on it more than ever.
"It beggars belief that some people should want to harm the very networks that are providing essential connectivity to the emergency services, the NHS, and rest of the country during this difficult lockdown period," UK boss Nick Jeffery said.
He described his engineers as heroes and urged people not to spread the "utterly baseless" stories online.



Now, listen to the true 'experts'... Scientist, Innovator and Inventor of email:



Man from the Industry...



Public hearing in the city of Sacramento, CA.



Senate hearing...



Okay, let it sink in.

About the 'virus' issue -- What do prominent and independent scientists (virologists) have to say?



Now, how many here think or have a feeling that there could be 'deep state' affairs mingling with global economies?

Somebody in this thread has hinted it right -- there are so many things going on below the surface of what we are made to hear, see and have to talk about...

People, enlighten yourselves!
 
Back
Top Bottom