Hawa jamaa ni wahuni sana. Hata mimi wamenikera sana kwa kweli sijui niwafanyeje? Hata hivyo nauza kidecorder chao bei 2,000/= ( elfu mbili maongezi yapo) ila cable siuzi.
Mwenye uzoefu na EASY TV anijuze, je naweza tumia decorder ile ile?
Ama kama mtu anajua jinsi ya kuchakachua yaani nitumie bila kulipa kulipia maumivu waliyokwishanipa anijuze
Gharama mkuu!DSTV Mwisho wa yote
Hapo ndio wana ku allert ujiunge na DSTV mpango mzimaaaaaaa!!!!Hawa Wachina wa StarTimes wanashangaza sana, wanadandia vichaneli vya ovyo-ovyo na vingine vya bure halafu wanatuuzia, vichaneli vingine sijui kama kuna Watanzania wanaangalia, hasa za lugha za Kichina na Kifaransa na Spanyola.
StarTimes, baada ya kugundua KBC wanarusha AFCON sasa wametufungia!
Hivi kuna sheria gani inatulindaje walaji dhidi ya utapeli na unyanyasaji huo?
Maana tumelipia KBC kwanini wanatufungia? Tuchukue hatua gani? Tushitaki kwa nani?
Hawa Wachina wa StarTimes wanashangaza sana, wanadandia vichaneli vya ovyo-ovyo na vingine vya bure halafu wanatuuzia, vichaneli vingine sijui kama kuna Watanzania wanaangalia, hasa za lugha za Kichina na Kifaransa na Spanyola.
StarTimes, baada ya kugundua KBC wanarusha AFCON sasa wametufungia!
Hivi kuna sheria gani inatulindaje walaji dhidi ya utapeli na unyanyasaji huo?
Maana tumelipia KBC kwanini wanatufungia? Tuchukue hatua gani? Tushitaki kwa nani?