Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,521
- 1,906
Hawa jamaa ni wahuni sana. Hata mimi wamenikera sana kwa kweli sijui niwafanyeje? Hata hivyo nauza kidecorder chao bei 2,000/= ( elfu mbili maongezi yapo) ila cable siuzi.
Mwenye uzoefu na EASY TV anijuze, je naweza tumia decorder ile ile?
Ama kama mtu anajua jinsi ya kuchakachua yaani nitumie bila kulipa kulipia maumivu waliyokwishanipa anijuze
Mwenye uzoefu na EASY TV anijuze, je naweza tumia decorder ile ile?
Ama kama mtu anajua jinsi ya kuchakachua yaani nitumie bila kulipa kulipia maumivu waliyokwishanipa anijuze