Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

Kwa hiyo kama nimekosa mkate nile keki siyo?

Hyo ni tafsiri yako lakini ukweli unabaki palepale kama untaka kuona hizo channel nyingine unapaswa utumie kingamuzi kingine it is a choice my friend
 
Hata wakifikia makubaliano, hakutakuwa na haja ya kuvirudisha ving'amuzi kwa Startimes, watabadilisha just online. Mbona sasa hivi tunapata Emmanuel TV wakati awali ilikuwa haipo.
 
Nilikipotezea kwa mwezi hivi
nilivyosikia ITV,STARTV,EATV
nilikuwa impressed sana
nikaenda kununua Kifurushi
nikaprocess nikapata chanell tajwa
cha ajabu jana siku tatu tangu nimeanza kuwatch zikaanza kusoma signal weak no picture leo nikamua kusearch kwa kutumia auto tena
cha kushangaza zimeondoka mpya zoote local station pamoja na etv

msaada jamani nifanyeje ?
 
mi cjawah kuzishika kabisa hzo channel,au arusha haishiki
 
Wafuate ofisini kwao au uwasitliane na customer care zao
 
Naona waliingiza kinyemela wenye chaneli wamemaind kinoma
 
mi niko mwanza jana zilikuepo ila leo kuna star tv tu sijui tatizo ni nini
 
Naona waliingiza kinyemela wenye chaneli wamemaind kinoma

sidhani kwa kuwa wengine wanazipata na wengine hawazipati

mfano;
mimi mimi nilikuwa nazipata zoote
baada ya siku 2 I.T.V. ikagoma nikaizima receiver then nikakiwasha kikaonesha kama kawaida ila jana baada ya taarifa ya habari tu STAR TV na EATV imegoma na hata niki search hazidisplay kabisa.
 
hawa jamaa hawana uwakika na mambbo ya ndo tatzo la mchina kila kitu feki feki tu
 
Mi zinashika wiki mbili sasa ila itv haina sauti
 
Alafu mbona channel za kichina nyingi sana? Au wamiliki ni wachina? Au ndo maendeleo ambayo china imeahidi kuleta africa kwa hiyo kwetu haya ndo matunda ya kichina kuwa na kifurushi chenye channel nyingi za kichina?
 
Back
Top Bottom