Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Alafu mbona channel za kichina nyingi sana? Au wamiliki ni wachina? Au ndo maendeleo ambayo china imeahidi kuleta africa kwa hiyo kwetu haya ndo matunda ya kichina kuwa na kifurushi chenye channel nyingi za kichina?
haaaaa haaaaaa
wanazidi kujitangaza kimataifa