Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji


mimi nilikinunua kipindi cha kombe la dunia, baada ya hapo nikakifungia sandukuni. now nakula kitu cha Easy TV: ITV, Channel 10, Star TV, UBC, Citizen, TBCCM zote ndani.
 
Chezeiya mchina wewe washawaweka tbc mfukoni hata mfanye nini tcra wamelala......
 
Startimes ni wezi wakubwa.
Kila siku channel zinapungua tu.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nimelipia channel zote lkn wkt fulani inaonesha kuwa not subcribed tena karibu station zote. baada ya muda inaonesha zote. Etv ndo kabisa haipo tena. Mimi siwaelewi hawa watu. ikifiaka tarehe wao wanajua kukata bila kufidia siku anbazo hawakuwa hewani. Tanzania kila kitu chawezekana.
 
nunua kingamuz cha Ridhiwan Tv..... kinaonesha tanzania na oman tu..

V
SENGEREMA
 
I see me mwenyewe nimailipia 36000 kwa mwezi bt utumbo mtupu halyanani tena najuuta kuiweka hii startimes
 
mimi nilikinunua kipindi cha kombe la dunia, baada ya hapo nikakifungia sandukuni. now nakula kitu cha Easy TV: ITV, Channel 10, Star TV, UBC, Citizen, TBCCM zote ndani.

NG'WANANGWA, Hapo kwenye RED kinauzwa bei gani na ni nani wakala?
 
mimi nilikinunua kipindi cha kombe la dunia, baada ya hapo nikakifungia sandukuni. now nakula kitu cha Easy TV: ITV, Channel 10, Star TV, UBC, Citizen, TBCCM zote ndani.

amesahau na setanta .etv.msnbc nacho kilipotea kimerudishwa juzi .hawa wachina wezi .
 
Hawa jamaa ni wezi tu. Tuliambiwa vipindi vinavyorushwa bure vitaendelea kuwa bure lakini hawa wachina wanatoza channel ten, Dtv ... Na tcra wapo likizo!
 
mimi nilikinunua
kipindi cha kombe la dunia, baada ya hapo nikakifungia sandukuni. now
nakula kitu cha Easy TV: ITV, Channel 10, Star TV, UBC, Citizen, TBCCM
zote ndani.

Tupe basi contacts za hawa jamaa, please!
 

Mkuu hawa jamaa ni matapeli tu. Sijui kama na matatizo ya mkataba wao kama yalipatiwa ufumbuzi. Kwani waliingia mkataba kifisadi
 
Wadau, nimelipia startimes kifurushi cha mwezi, ni wiki mbili tu sasa zimepita na hizo channel za kulipia hazionekani tena. Napata local chnls tu... Mwenye ujanja wa jinsi kuzi-retrieve hzo channels anijuze, au nisaidiwe kupata namba za simu za hawa wahusika. Asanteni
 
Tumia namba hii: 0764700800. Lakini kabla hujawapigia jaribu kurekebisha antenna uone kama zitaonyesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…