Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 530
Hapo ndio wana ku allert ujiunge na DSTV mpango mzimaaaaaaa!!!!
Ndugu? Dstv wanamudu WaTanzania wangapi? Wangekuja na Special Product ya angalau tsh 20,000/ kwa mwezi hata kama ni chaneli tatu tu ningejiunga