Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya
Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
View: https://x.com/Megatron_ron/status/1858609993311989957?t=r551eKTaE12Nw3JVa1WqCg&s=19
View attachment 3155752View attachment 3155753
Kwa hivyo vibomu ambavyo haviwezi angusha hata Ghorofa la kko ?Hii vita tangu mwanzo ilitoa uwelekeo kuwa Hezbullah walitakiwa mahesabu makali kama yale ya mwanzo Israel ilitakiwa kudili na viongozi tu wa Hezbullah sio raia sio majengo lkn Netanyahu anataka Beirut iwe Gaza apo ndio anaenda wapa Haki Hezbullah kuivuruga Telaviv na miji mingine na ilo ndio lisababisa Israel atoe mlio na kukimbilia UN
Kariakoo ilipigwa na bomu?Mbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Yaani huo moto unazimwa kwa mkojo wa mtoto jamaa kashikishwa bangoMbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Mafundi maiko walichomoa miguu ya jengoKariakoo ilipigwa na bomu?
Kwa hivyo hata nyundo inaweza kuangusha gorofa?Mafundi maiko walichomoa miguu ya jengo
Msumeno nyundo umeenda mbali sanaKwa hivyo hata nyundo inaweza kuangusha gorofa?
Kwani kariakoo lilipigwa bomu?Mbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Vidogo dogo sana tena, moto wa jiwe wanupata, au na moto haviwashi?Mbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Ushindi mkubwa..!Tuliambiwa kuna "iron dome" hakipenyi kitu. Mbona tunaona Hezbollah wakiwanyofoa kidogo kidogo, wameanza Kiritat Shimun, wakaingia vimiji vingine vya mipakani huko, wamehamisha mazayuni wote kwa uoga, wamehamia haifa, sasa wnainyofoa Hiafa na Tel Aviv.
Huu ni ushindi mkubwa, nyau amekuwa panya.
Miguu ya jengo waliichekechaKwani kariakoo lilipigwa bomu?
hezbollah hawachekechi wanadonyoa na majengo tunaona yakiwaka moto.Miguu ya jengo waliichekecha