Mkuu unaongelea polisi wa Tanzania au Nchi Gani?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
TanzaniaMkuu unaongelea polisi wa Tanzania au Nchi Gani?
Hvi usemalo unakijua mzee. Unajua enzi za makaburu polisi walivyokuwa.??Polisi wa Tanzania katika awamu hii imekuwa organization ya ovyo kuliko hata south african police service ya wakati wa makaburu
Jipe moyo!! Mkuuu, eti polisi take home milioni 5!Wewe unaumwa
Mkuu huo ndo mpunga ninaokunja Kila mweziJipe moyo!! Mkuuu, eti polisi take home milioni 5!
Akifika huo mshahara mm naacha kazi yangu KESHO ASUBUHI. Maana ulinzi utakuwa unalipa sana.... ila ulinzi ndio kazi ya mwisho duniani.Siro anapata zaidi ya 20,000,000 kabla ya marupurupu
Wewe ni polisi au umeambiwa tu?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Mimi ni policeWewe ni polisi au umeambiwa tu?
Nimefuatilia comments zako nimekuelewa mkuu.Mimi ni police
Asante sanaNimefuatilia comments zako nimekuelewa mkuu.
Sasa utawapondaje kama huwafatilii? Mbona unakuwa huna akili?Vijana wa Ufipa wanafuatilia CCM huku wanajifanya kuiponda
Bora kaburu kumuonea mtu mweusi kuliko mtu mweusi kumuonea mtu mzima mwenzakeHvi usemalo unakijua mzee. Unajua enzi za makaburu polisi walivyokuwa.??
Jamaa wanatupiga fix hiyo take home anamaanisha askari wa chini kitu ambacho hakiwezekaniAcha uwongo wewe. Unafikiri hatuna ndugu ambao NI polisi?
Aiseeeeeee!!!!Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Tanzania IPI hii ninayaojua Mimi ? Au kuna nyingineTanzania
Maisha ni namna unavyoamua mwenyewe
Anamaanisha rushwa na maroroso yake wanafikasha hiyoAcha kudanganya watu polisi tunaishi nao huku mtaani hawafanana na huo mshahara wa milion 5