Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Polisi wa Tanzania katika awamu hii imekuwa organization ya ovyo kuliko hata south african police service ya wakati wa makaburu
Hvi usemalo unakijua mzee. Unajua enzi za makaburu polisi walivyokuwa.??
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Wewe ni polisi au umeambiwa tu?
 
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!

"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"

Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.

Watu wanatema nyongo live!
Aiseeeeeee!!!!
 
Maisha ni namna unavyoamua mwenyewe


Bangi tuvute wache tu hawa form failure walipwe Mil5 ,wakati mimi Baba yangu yuko na Nyota 3 na degree 1 bado home take atupati hata Mil 2 wewe acha uongo , hawa policcm wako hoi kimaisha.
 
Mi nilimpenda msanii lava lava anawaambia raia piga kelele kwa CCM watu wako kimya kama hawamsikii,akaona isiwe tabu kisha akasema "mbona mwaka huu CCM mmechoka sana".nadhani katika watu ambao ataanza kushughulika nao ni huyu bwana mdogo lava lava
 
Back
Top Bottom