Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia


KUNA UFUFUO, MWILI UMEKUFA ROHO I HAI

1Wathesalonike 4:15-17 "Hapa ni kwamba walio hai mpaka kuja kwake Kristo, hatutawatangulia wao waliokwisha kulala Mauti, na ujue kuwa waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza."

Yohana 14:1-3. "Yesu alienda kuandaa makao kwa ajili ya watu waliokufa na walio hai katika Kristo"

1Wakorintho 15:51-52 "Paulo anaongelea juu ya wafu kufuliwa na kubadilishwa, pamoja na wale watakao kuwa hai, "
Matendo 24:15 "Kutakuwa na ufufuo wafu wenye haki na wasio haki"
Matendo 2:34 "Biblia inathibitisha kuwa Daudi hayuko mbinguni"

Ayubu 14:12 "Ni hivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke, hata wakati wa mbingu kutokuweko tena."
Yesu Mwenye alipokufa pale msalabani hakuenda mbinguni hadi alipofufuka na kupaa. Yohana 20:17.
Ndugu yangu mpendwa somo litaendelea na cha msingi ujue kwanza wafu wamelala, pili hawajui lolote wala hawana msaada kwetu, tatu hawana uhusiano wowote na Mungu, hivyo usitishwe na roho za wafu hiyo ni mizimu tu ukimwamini Yesu Kristo huwezi sumbuliwa na pia usijisumbue kuwaombea marehemu au kuwaomba marehemu kwa maana wao huwa mavumbi na hawajui lolote!
 
hakuna aliye muabudu sema ile dini kubwa duniani inachukua sana haya makanisa ya kiroho ynayofuata bublia na kuomba kupitia Yesu na Roho mtakatifu badala ya Maria
Wewe unaabudu wapi? Pale Upanga kwa yule Mnyakyusa? Nataka nije siku moja.
 
Hakika
 
Aisee! Maisha ni mafupi sana!

R. I. P nabii.
 
Kwan mbinguni siwezi leta jeuri?
maliza JEURI yako hapa hapa, Ukifa huna ujanja, kwanza ukifa tu, hulali tena ktk jumba lako la kifahari tunakupeleka mochwari, kisha kaburini, hapo tu jeuri huna,
kinacho takiwa ishi na binaadamu wenzako kwa wema, acha kuonea watu, usidhani utazikwa na cheo chako, wangapi tumewazika walio kuwa viongozi wajuu na ulinzi kibao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…