Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
Binadamu bhana?!!! Mnapenda sana kuhukumu. Hebu tuambie ww unaejua utaratibu wa kifo cha mtu wa Mungu kinakuwaje???
 
Jana Jumamosi kabla ya kufa kwenye kikao cha wadau wa Emmanuel TV, T.B. Joshua alisema hivi: "Kuna wakati kwa kila jambo. Wakati wa kuja kwenye maombi na wakati wa kurudi nyumbani baada ya huduma."

Kwahiyo T.B. Joshua alijitabiria, amerudi nyumbani kwa Mungu Baba maana hapa duniani tunapita tu, wenyeji wetu uko mbinguni.
 
Kama itakuwa ni kweli basi ni habari ya kusikitisha sana,unless kama official site yake imekuwa hacked...
 
Hii ni kweli kabisa mkuu. Hakuna msiba umenipa somo zito kama ule wa Magufuli. Jeuri zote mwisho pumzi inapokata.
 
Alibakiza siku 6 kufikisha miaka 58!
 
Kwa fikra zangu hapo alikuwa anamaanisha kuwa wakati wa kurudi nyumbani baada ya huduma ni kurudi nyumbani kwake maana hapo ni kanisani ni eneo lake la kazi. So point hiyo sijaikubali mkuu hebu tafuta ushahidj mwingine kuwa alijitabiria kifo.
 
Je Musa Na Elia Wapo wapi? Vipi kuhusu Abraham?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…