Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Upo sahihi, Biblia neno la Mungu lipo Wazi:
Lakini kama unawapinga kwa kutofuata neno la Mungu nawe ni mmoja wao.

1 Yohana 4:1​

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

Manabii wa uongo wanaonekana kwa matendo yao ingawa wanajionyesha kufanya miujiza fekero ya kubumba na ya kisanii kama ya Gwajima alivyomfufua binti pale stejini hahaaaa.
 
R.I.P [emoji24][emoji24][emoji24]jamaa alitoka kuhubiri neno la mungu baada ya hapo akafa....what wonderful death[emoji24][emoji24][emoji24]kifo kizuri sana hicho mwisho wake umekua nzuri sana.......wengine wanafia bar na guest lakini yeye amekufa katika njia ya kuhubiri neno la mungu[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]


R.i.p dady[emoji1317][emoji1317]
Kama kazi aliyotumwa ameimaliza, basi hakuna namna Bwana amemtwaa.
 
Manabii wa uongo wanaonekana kwa matendo yao ingawa wanajionyesha kufanya miujiza fekero ya kubumba na ya kisanii kama ya Gwajima alivyomfufua binti pale stejini hahaaaa.
umesoma hilo neno?
Okay tuache neno:
Naomba list ya manabii wa uongo,
Je, Wale wanao semaga kuna mama sijui huyo mama hajawahi kukutana kimwili na mwanaume anawatokeaga unawaamini?
Je, wale wanao sema wameshushiwa kitabu toka juu unawaamini?
Je, wale wanaosema Yesu ni Mungu unawaamini?
We upo wapi msimamo wako?

NABII WA KWELI NI YUPI?
 
Nilitegemea CCN/BBC watangaze habari za kifo cha TB Joshua (kama ni kweli). Wala sijaona matangazo kuhusu hilo, tangu saa 11 asubuhi naangalia CNN na BBC! Kweli wazungu wana dharau. Kifo cha TB Joshua is not news to them!
 
Mi siamini hii habari yenyew vinginevo irudiwe irudiwe
 
Huyo alikua maarufu huku Afrika tunakoabudu miujiza na sio imani.
Wazungu wapo kinyume na sisi, ndio maana sio big news kwao.
 
Umewagusa wengi mtu wa Mungu lala salama

Mathayo 12:31-32​

Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu. Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao
 
Kwani yeye ni nani haswaah mpaka iwe lazima awe headline kwa kila mtu??
Je, ni televangelist wangapi wazungu wamekufa na hawajawa headlines kwenye newsfeed za Africa?? Na wazungu hawajalalamika!

Atadonti Gwajiboy, mtataka awe headlines Japan na Marekani lile jimbo pacha la Kawe.😂😂

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nilitegemea CCN/BBC watangaze habari za kifo cha TB Joshua (kama ni kweli). Wala sijaona matangazo kuhusu hilo, tangu saa 11 asubuhi naangalia CNN na BBC! Kweli wazungu wana dharau. Kifo cha TB Joshua is not news to them!

Hana lolote huyo ulimwenguni
 
Back
Top Bottom