Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Wewe umechukua tuzo gani?
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Wewe umechukua tuzo gani?
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Tuzo zoote ni kama za wanaijeria ...Kila Mtu apambane kivyake
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Hakikisheni mnaishi wengi marekani na hamna unafiki.

Ila hilo lidada nalipenda sana na mauno yake on stage tuachane na mauno ya kwenye vigodoro
 
Kuna connection na masuala mengine ya nyuma ya pazia wewe hauyajui. Haujiulizi kwanini burna boy alianza kuchukua sana izo tuzo baada ya kwenda nyumbani kwa pdidy. Mfano uyo Tyla ni industry plant, hana mziki wowote wa maana. Kanye west na michael jackson walishawahi kusema uko kwenye music industry kuna tycons wanaocontrol kila kitu. Watakupa umaarufu watakutumia na wakati ukifika watakushusha. Hao wakina Zuchu bado hawajapenya kwenye system
Yule Tyla Kweli ni Industry plant
 
Haifanani na ukweli. Kuuza viepe nayo ni kutengeneza hela kama anavyotengeneza Dangote, au kumpikia Diamond nayo inamsogea karibu na music awards!?

Mkuu Tems anashinda Grammy Zuchu anampikia Diamond unamlaumu, Dangote anapiga mabilioni ya dola wewe huijui hata dola elfu saba tukusifie?
 
Why Zuchu na sio Nandy, Maua Sama,Mimi Mars au hawa hawapo busy kuwapikia waume zao.

Hizi tuzo kwa Tz mziki wetu bado sana kuanzia productions, creativity kwa maana ya Uniqueness, lugha,promotion,branding nk,mtawalaumu tu wasanii,ila wasanii wa Nigeria ni level nyingine.

Wasanii wa bongo kwa Zone ya Africa Mashariki na kati wapo vizuri, huko kwingine bado kwani hawana mitaji ya kupush miziki yao kama wanaija.
na licha ya hayo, bado Kuna hujuma kibao.
angalia album ya timeless ya davido, Ika kosa licha ya kuwika vyema.
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Hivi Afrika nzima aliyeshindwa kupata hiyo Grammy ni Zuchu peke yake au una chuki binafsi? Ok let me put it this way, hivi Tanzania nzima aliyeshindwa kupata Grammy ni Zuchu peke yake?
Vipi hauwachambi akina Mo Dewji na Bakhresa wanashindwa kuchukua namba moja ya utajiri Afrika nzima huku a Nigerian Aliko Dangote akiishikilia nafasi hiyo kwa muda mrefu?
We can't all be number one.
 
na licha ya hayo, bado Kuna hujuma kibao.
angalia album ya timeless ya davido, Ika kosa licha ya kuwika vyema.

Ndio ukweli wenyewe hujuma nyingi, Davido mwenyewe anasema kipindi wanajitafuta kutafuta soko la nje wamehonga sana Madj US kuanzia club mpaka kwenye Maradio.

Sio rahisi watu wanavyo zani.Ujue sometimes unaweza ukamuona mtu anafanya kitu ,ukamuona huyu mzembe au mvivu, sasa ingia kwenye kile akifanyacho baada ya hapo ndipo utakapo anza kumuheshimu.
 
Ndio ukweli wenyewe hujuma nyingi, Davido mwenyewe anasema kipindi wanajitafuta kutafuta soko la nje wamehonga sana Madj US kuanzia club mpaka kwenye Maradio.

Sio rahisi watu wanavyo zani.Ujue sometimes unaweza ukamuona mtu anafanya kitu ,ukamuona huyu mzembe au mvivu, sasa ingia kwenye kile akifanyacho baada ya hapo ndipo utakapo anza kumuheshimu.
Ila nyimbo iliyo niuma ni Ile single again, konde ange mpa collabo ed Sheeran ili kuwa tayari ni global 🔥.

halafu sisi hata production yetu ni uongo uongo, sikiliza beat za Wana ija lazima utikise kichwa.

kiba aki pewa beat nzuri Kama za lojay au sarz, duniani ni uhakika.
 
Ndio ukweli wenyewe hujuma nyingi, Davido mwenyewe anasema kipindi wanajitafuta kutafuta soko la nje wamehonga sana Madj US kuanzia club mpaka kwenye Maradio.

Sio rahisi watu wanavyo zani.Ujue sometimes unaweza ukamuona mtu anafanya kitu ,ukamuona huyu mzembe au mvivu, sasa ingia kwenye kile akifanyacho baada ya hapo ndipo utakapo anza kumuheshimu.

 
Zuchu na kingereza wapi na wapi?.Na zile nyimbo zake za watoto
 
Ila nyimbo iliyo niuma ni Ile single again, konde ange mpa collabo ed Sheeran ili kuwa tayari ni global 🔥.

halafu sisi hata production yetu ni uongo uongo, sikiliza beat za Wana ija lazima utikise kichwa.

kiba aki pewa beat nzuri Kama za lojay au sarz, duniani ni uhakika.
Sasa kumpata Ed Sheran hapo ndipo pagumu maana yule kumpata utakutana na timu yake watakuambia weka USD 500K mezani. Husimuone Mondi kufanya Collabo na Neyo,Jason,Rick Ross nk fedha zinamtoka kufanya nao Collabo.

Sometimes mziki ni zaidi ya sauti,kuna watu wana sauti za kawaida ila wana toboa.Nilimsikia Neyo alikuwa anasema siku hizi msanii haitaji kuwa na talent kubwa sana ili kufanikiwa kama enzi zao,kwani lazima uwe sauti nzuri, ufanye sana mazoezi ya sauti na Sometimes ujue kupiga hata chombo kimoja, ila siku hizi kuna vifaa ambavyo vinamboost hata mwenye kipaji cha kawaida.

Yaani hivi vitu Promotion, Connection na Mfumo imara ya kusambaza na kusimamia kazi za wasanii katika level za ndani na kimataifa ndizo zina wafanya Wanaija kuwa bora na kila siku wanazidi kupaa.
 
Back
Top Bottom