Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
WCB ishakuwa East African brand kubwa lakini bado inaendelea kucheza league ambazo Bongo flava ilikuwa ishafika.Siujui mfuko au acc ya Diamond japo alipo mfikisha mpaka alipo kajitahidi.
Kwa hiyo Diamond anahitaji vichwa haswa vya muziki na Fitna ili apeleke label masoko mengine ya Africa. Ila kwa hali ya sasa bado bado