Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

Sasa kumpata Ed Sheran hapo ndipo pagumu maana yule kumpata utakutana na timu yake watakuambia weka USD 500K mezani. Husimuone Mondi kufanya Collabo na Neyo,Jason,Rick Ross nk fedha zinamtoka kufanya nao Collabo.
kaka mpaka naku ambia haifiki, ange pata connection ange pasuka USD 100-150k.

hapo una Jenga ukaribu na Jamaa wa manager wake, ed Sheeran katoa verse nyingi bure huku Africa.
sema wali kosa promotion tu.

halafu angalia hata distributor wao wa mziki, ni ziiki😂🤣. akati wenzio wako na empire ya marekani.
 
Kwenye grammys kuna category moja tu ya miziki ya kiafrika - afrobeats. Ilianzishwa miaka 2 iliyopita.

Sasa mziki wa afrobeats umetawaliwa na wanigeria.

Lakini africa genres za mziki ni nyingi(bongo flava, amapiano etc).

Ili wale wachambuzi wa grammy watambue aina fulani ya mziki, inabidi wausikie kwanza, huo mziki inabidi uwe na uchochezi.

Afrobeats mwaka jana ilipata 15b streams spotify tu. Afrobeats ni mziki wa kidunia tayari.

Bongo flava bado haijafikia huko.

CEO wa grammy, anasema anatambua hilo tatizo, lakini watafanya namna wasanii wa genres nyingine za africa wawe wanapewa tuzo ndani ya category ya afrobeats.
 
kaka mpaka naku ambia haifiki, ange pata connection ange pasuka USD 100-150k.

hapo una Jenga ukaribu na Jamaa wa manager wake, ed Sheeran katoa verse nyingi bure huku Africa.
sema wali kosa promotion tu.

halafu angalia hata distributor wao wa mziki, ni ziiki😂🤣. akati wenzio wako na empire ya marekani.
Halafu kumbuka wenzetu kuna hela unamlipa ya kuingiza vocal na kuna hela ya kuonekana kwenye video yako. Si unajua wanajali sana mionekano ya wasanii wao,so lazima designer wake nae hausike ndio maana kwa Ed hamna hamna 500k USD audio na video.Wizkid ana nyimbo tatu alizofanya na Drake,Criss Brown na Tyga hamna hata moja yenye video ambao hao wasanii wametokea.

Konde akiacha kukimbizana na matako makubwa akafocus na mziki wake anaweza fika mbali, ila hii mishepu inamvuruga mpaka amehonga Rang Rover Evoque kwa kajala bado ana uchizi wa wanawake,wenye mashepu na wanampiga sana hela.
 
Halafu kumbuka wenzetu kuna hela unamlipa ya kuingiza vocal na kuna hela ya kuonekana kwenye video yako. Si unajua wanajali sana mionekano ya wasanii wao,so lazima designer wake nae hausike ndio maana kwa Ed hamna hamna 500k USD audio na video.Wizkid ana nyimbo tatu alizofanya na Drake,Criss Brown na Tyga hamna hata moja yenye video ambao hao wasanii wametokea.

Konde akiacha kukimbizana na matako makubwa akafocus na mziki wake anaweza fika mbali, ila hii mishepu inamvuruga mpaka amehonga Rang Rover Evoque kwa kajala bado ana uchizi wa wanawake,wenye mashepu na wanampiga sana hela.
mtu ana toa Ngoma, ila kulipa ili apige live show Tracy mziki, au net urban ni kazi duh.

Kiba nae Hana manager wa maana, video + production zake ni ili mradi liende.
 
Seven alikuwa bonge la meneja sijui walizinguana nini.
kwa kusogea seven ali Jitahidi, ila kiba ana hitaji team Kama ya bien.

angalia bien miaka mingapi, ila kapiga show London, kwenye uwanja wa 3,6k watu.

ila hawa wetu wana taka hela za humu humu.
 
kwa kusogea seven ali Jitahidi, ila kiba ana hitaji team Kama ya bien.

angalia bien miaka mingapi, ila kapiga show London, kwenye uwanja wa 3,6k watu.

ila hawa wetu wana taka hela za humu humu.
Msanii ndiye anatakiwa kuonesha anahitaji kufanikiwa au anahitaji watu watakao mmeneji ili afanikiwe inawezekana yy hataki.

Bien yy anaonesha anahitaji kufanikiwa na kwenda mbali na mpaka unamuona hapo basi yupo na watu ambao anawalipa kumsimamia.
 
Msanii ndiye anatakiwa kuonesha anahitaji kufanikiwa au anahitaji watu watakao mmeneji ili afanikiwe inawezekana yy hataki.

Bien yy anaonesha anahitaji kufanikiwa na kwenda mbali na mpaka unamuona hapo basi yupo na watu ambao anawalipa kumsimamia.
Mwingine ambae yuko kamili kwenye lugha, kipaji na hata uandishi ni nyanshiski.

ila nae ni kiba alie changamka
 
Zuchu net worth yake ni $980
Tems ana $2M
Diamond anayepikiwa maandazi na kababu ana 12M.
Doe the math
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Wewe imeshinda tuzo gani? PUMBAVU!!
 
Haifanani na ukweli. Kuuza viepe nayo ni kutengeneza hela kama anavyotengeneza Dangote, au kumpikia Diamond nayo inamsogea karibu na music awards!?
Basi huyo anampikia viepe Mond hafai na tumwite majina yote yaani MVIVU, HAFAI, ANAENDELEZA MAPENZI na KUPIKA.

Si kuna wasanii wengine pia wa kike walio serious wanaweza kuleta tuzo na kwanini Zuchu tu kumpikia Mond iwe sababu
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Kwa hichi kifua nitaanza kumfuatilia huyu Temz.
Ni wa nchi gani mkuu
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Shida iko wapi? Ngoja ccm kwanza ishinde
 
Why Zuchu na sio Nandy, Maua Sama,Mimi Mars au hawa hawapo busy kuwapikia waume zao.

Hizi tuzo kwa Tz mziki wetu bado sana kuanzia productions, creativity kwa maana ya Uniqueness, lugha,promotion,branding,connection, system iliyo tayari nk,mtawalaumu tu wasanii,ila wasanii wa Nigeria ni level nyingine.

Wasanii wa bongo kwa Zone ya Africa Mashariki na kati wapo vizuri, huko kwingine bado kwani hawana mitaji ya kupush miziki yao kama wanaija.
Diamondi hana hela ya kupush?
 
Sana, wamebana wameachia... Huyu mwamba anastahili apewe crown yake kwa maana R Kelly ameshapitezwa na waliopo wote hakuna wakufunga kamba za viatu vya Chris... Not like us haukufit hapo?😅
not like us au satan ya sza ni overrated songs.

angel numbers iki pigwa mwanzoni, Kisha Ile verse ya pili uta ona Kuna energy fulani ya hisia 🔥 🔥.
 
Back
Top Bottom