Kuna lugha huwa inatumika sana kwamba mwanaume akipata pesa anabadirika hili siyo kweli, wanawake wengi hawajui sex ni kipengere muhimu sana kwa maumbile ya mwanaume na mbegu millioni kadhaa zinazalishwa daily.
Sasa mwanamke akiwa anampa K kwa mgao kama dawasa mume wake uchumi ukibalance lazima atoke nje ambako anapewa yote bila kubaniwa na anapewa style zote pesa ndio kila kitu.
Sasa wanawake wa kileo wasidhani wanaume hawajatulia au hawawezi kubaki njia kuu, tatizo ninaloliona wake za watu wengi wameshindwa kutimiza mahitaji ya kimwili ya waume zao.
Hata mimi siwezi kukubali kukaa na nyege wakati nina mke, ukinibania subiri tu kuna vitoto huko nje vinahitaji masponsor tunaruka navyo tu, anakuita Anko huku unamega kimtindo.