Tendo la ndoa chanzo cha kuua ndoa nyingi

Miti lazima ipigwe kwa sana tu, kama hupendi hilo wewe utakuwa sawa na roboti tu muda wote limejaa hasira na stress.
Tena ipigwe hasa bila choyo na kuoneana soni.Ndiyo msingi wa kuoana.Kama tendo hilo lisingekuwepo hata maana ya ndoa isingekuwepo.Watu wasinyimane na kujazana vinyongo na mawazo ya visasi/kuuana.
 
Kuna lugha huwa inatumika sana kwamba mwanaume akipata pesa anabadirika hili siyo kweli, wanawake wengi hawajui sex ni kipengere muhimu sana kwa maumbile ya mwanaume na mbegu millioni kadhaa zinazalishwa daily.

Sasa mwanamke akiwa anampa K kwa mgao kama dawasa mume wake uchumi ukibalance lazima atoke nje ambako anapewa yote bila kubaniwa na anapewa style zote pesa ndio kila kitu.

Sasa wanawake wa kileo wasidhani wanaume hawajatulia au hawawezi kubaki njia kuu, tatizo ninaloliona wake za watu wengi wameshindwa kutimiza mahitaji ya kimwili ya waume zao.

Hata mimi siwezi kukubali kukaa na nyege wakati nina mke, ukinibania subiri tu kuna vitoto huko nje vinahitaji masponsor tunaruka navyo tu, anakuita Anko huku unamega kimtindo.
 
Hayo mambo wanapaswa wanawake wasisitizwe sana wanapokuwa kwenye kufundwa kwao.Wasilete masihara,vihasira uchwara au ugomvi unapofika muda wa tendo kama hana sababu za msingi na za kweli.Mwanamke anayekataa kutoa tendo kwa mwenza wake bila sababu za msingi anajionesha namna ambavyo hajielewi.Asilielie mbeleni.
 
Hell noooooop!
Wazee wa zamani ndio mnapenda huu mchezo ila vijana wenu kimoja chalii na hataki tena na ndio maana hata hii thread wameikalia kimya wao vyovyote sawa tu
 
Wazee wa zamani ndio mnapenda huu mchezo ila vijana wenu kimoja chalii na hataki tena na ndio maana hata hii thread wameikalia kimya wao vyovyote sawa tu
Hakuna mtu asiyependa kutombanah Duniani , vinginevyo ana mapungufu. Hata iweje ipo siku unabanwa na hamu/nyegge za kufa mtu, na kwa bahati mbaya ni kama kiu ya maji vile~ikikubana hata unywe soda 100 hazikati kiu ya kutaka kunywa maji
 
Hakuna mtu asiyependa kitombanah Duniani , vinginevyo ana mapungufu. Hata iweje ipo siku unabanwa na hamu/nyegge za kufa mtu, na kwa bahati mbaya ni kama kiu ya maji vile~ikikubana hata unywe soda 100 hazikati kiu ya kutaka kunywa maji
Hamu wanapata ila ndio akipiga kimoja hataki tena
Mtu anaiomba hadi unasema huyu leo atashinda siku nzima kifuani ila akipewa dk 5 nyingi kashatosheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…