Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.

Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.

Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?

Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?

Nawasilisha.
mbona Kama unanifanya nisioe kwenye ndoa mnafanya mara 54 kwa mwaka au umekosea Ni kwa week
 
Tatizo ni kwamba mnataka kila kitu jiwe na muongozo wakti si sahihi.
Ktk hili, muongozo ni wa wahusika nao hauko fixed bali utategemea hali zao na mazingira yao.
 
mbona Kama unanifanya nisioe kwenye ndoa mnafanya mara 54 kwa mwaka au umekosea Ni kwa week
Hapana mkuu ni kulingana na utafiti uliokua umefanyika. Inawezekana ikawa zaidi kulingana na kina nani wamehojiwa. Oa mkuu uongeze mzani, isiwe mara 54 kwa mwaka tena
 
Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.

Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.

Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?

Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?

Nawasilisha.
kwetu sisi tuliooa, kwanza tendo hilo ni takatifu, na hua tunalifanya kwa utakatifu. as to how many times, ndugu, inategemeana na uwezo wako na matamanio yako, ni kitu automatic, haiwezi kupangiwa ratiba. mume ukiwa na hamu kila siku, fanya, mkeo yupo hapo na mnalala bila nguo, mke hivyo hivyo ukiwa na hamu fanya. inapokuja mmoja ana hamu na mwingine hana labda anaumwa au amechoka, linaongeleka, haiwezi kuwa lazima ati kwasababu tupo kwenye ratiba ya siku hivyo hata kama unaumwa, umechoka, kichwa hakijakaa vizuri basi utimize ratiba no, hiyo itakuwa rape sasa. things just come automatically, hata mkifanya kila siku kama mpo vizuri na mnapatana, sio shida.

1 WAKORINTHO 7:3 -5 INASEMA: 3 Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. 4 Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe. 5 Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

WAEBRANIA 13:4 INASEMA: Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.

KWA KIFUPI, sex is a very very good think, na ni tendo takatifu kama mmeoana. ila kama hamjaoana ni dhambi, na itakupeleka motoni au matatizoni tu. Mungu aliiweka ukifanya utajisikia vizuri, stress itapungua na ina afya mwilini pia. ni muhimu kufanya kadiri unavyojaliwa. na ufanyapo, jua Mungu anakuona, anaposema malazi yawe safi, anakataza uchafu wenu wa siku hizi huo, kinyume na maumbile, wapo wanawake walishakuwa wanafanya hayo kabla ya ndoa, na wakiingia kwenye ndoa wanaendeleza, hayo sio malazi safi, kama umeokoka na unafanya hivyo jua unamuudhi Mungu. Warumi 1:26 na kuendelea inaeleza jinsi wanadamu walivyobadili matumizi ya asili na kugeukia matumizi yasiyo ya asili, na inaeleza kuwa ni chukizo kwa Mungu.
 
Mara tatu Kwa week atle
Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.

Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.

Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?

Wewe una uzoefu gani k
 
kwetu sisi tuliooa, kwanza tendo hilo ni takatifu, na hua tunalifanya kwa utakatifu. as to how many times, ndugu, inategemeana na uwezo wako na matamanio yako, ni kitu automatic, haiwezi kupangiwa ratiba. mume ukiwa na hamu kila siku, fanya, mkeo yupo hapo na mnalala bila nguo, mke hivyo hivyo ukiwa na hamu fanya. inapokuja mmoja ana hamu na mwingine hana labda anaumwa au amechoka, linaongeleka, haiwezi kuwa lazima ati kwasababu tupo kwenye ratiba ya siku hivyo hata kama unaumwa, umechoka, kichwa hakijakaa vizuri basi utimize ratiba no, hiyo itakuwa rape sasa. things just come automatically, hata mkifanya kila siku kama mpo vizuri na mnapatana, sio shida.

1 WAKORINTHO 7:3 -5 INASEMA: 3 Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. 4 Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe. 5 Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

WAEBRANIA 13:4 INASEMA: Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.

KWA KIFUPI, sex is a very very good think, na ni tendo takatifu kama mmeoana. ila kama hamjaoana ni dhambi, na itakupeleka motoni au matatizoni tu. Mungu aliiweka ukifanya utajisikia vizuri, stress itapungua na ina afya mwilini pia. ni muhimu kufanya kadiri unavyojaliwa. na ufanyapo, jua Mungu anakuona, anaposema malazi yawe safi, anakataza uchafu wenu wa siku hizi huo, kinyume na maumbile, wapo wanawake walishakuwa wanafanya hayo kabla ya ndoa, na wakiingia kwenye ndoa wanaendeleza, hayo sio malazi safi, kama umeokoka na unafanya hivyo jua unamuudhi Mungu. Warumi 1:26 na kuendelea inaeleza jinsi wanadamu walivyobadili matumizi ya asili na kugeukia matumizi yasiyo ya asili, na inaeleza kuwa ni chukizo kwa Mungu.
Umeelezea vizuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom