Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Katoka fb huyu itakuwaShangaa na wewe best 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoka fb huyu itakuwaShangaa na wewe best 😃
Dogo stori za fb usilete huku asee unazinguaMimi ni mwanaume wa miaka 29 miaka minne iliyopita nilipokuwa chuo ilitokea kukutana na demu mmoja ambaye yeye alikuwa ni demu wa mtaani tulikutana kwenye group la Whatsapp la porn baada ya hapo yeye alinifata inbox na tukaanzia hapo nikamwalika ghetto akaja na siku hiyo nilipiga Kwa mara ya kwanza na ya mwisho alipo ondoka aikufika hata week tukapotezeana , Mimi nikaendelea na maisha yangu na yeye na maisha yake ukapita mda Kama wa mwaka mmoja akaja kunitafuta na kunieleza kuwa ana mtoto wangu to be honest nilikuwa shocked how come, mtu abebe mimba kimya kimya Hadi ajifungue kimya kimya Alf baada ya kujifungua ndio nilikataa baada ya hapo alinitafuta Teena akinisihi sana kuwa anataka nimpe mtoto jina pekee yake ahitaji kitu chochote kutoka kwangu nilimkatalia,lakini baada ya kunisumbua sana na Mimi nina huruma basi nikampatia mtoto yule jina ,mda ukapita Kama miezi nane hivi akaanza Teena kunisumbua kuwa anataka nikamwone mtoto niliendelea kukata na kumpiga chenga mpaka alipokuja baba yake mzazi wa huyo Binti kunitafuta ndipo nikasema Wacha niende maana nilikuwa nasoma sikupenda kuvuruga masomo yangu Kwa kuhofia kuwa yatafika chuoni na Deen of students ni mnoko atayafikisha Kwa wazazi wangu Bure nikaona nimalize jambo Kwa busara, kabla sijaenda kwao Sasa Kwa mara ya kwanza kumwona huyo mtoto basi Binti alinitafuta before kwenye simu akiniomba niwambie wazazi wake kuwa tunampango wa kuowana maana mda huo nilikuwa nasoma Bado chuo ilikuwa rahisi kueleweka na nilimkubalia Ili tu kumuwekea sawa mazingira ili wazazi wake wasimlete kwere pale nyumbani kwao , kabla atuja-sex aliniambia kuwa anampenzi wake na mm pia nilimuambia kuwa na mpenzi wangu Teena na mtoto nae alikuwa anamfaham, tulikuwa na NY**** ge siku hiyo tulifanya kavu kavu . Baadae taratibu baada ya mda kupita akanza kubadirika akinitaka matumizi wakati mwanzoni aliniambia kuwa haitaji hata mia yangu yeye anachohitaji ni jina la mtoto nimekuwa nikimpiga chenga na hivi tunakaa mikoa mbali mbali Sasa nimebaki na mgogoro wa nafsi nimkubali au nimkatae huyu mtoto huu ni mwaka wa tatu Sasa yaan mtoto anamiaka mitatu Sasa 03 na kadi za clinic na cheti Cha kuzaliwa vyote vina majina yangu. Comment za watu wengi ambao ambao wamemwona huyo mtoto na Mimi wanasema ni copyright ila mm nikiona sioni kufanana nae Sasa mpaka Sasa nimebaki dairema vipi huyu mtoto nimkubali au nimepigwa.......!!!?"
Achana na miaka yanguShangaa na wewe best 😃
😂Hizi ni story za maishaKwanza kule katuambia ana miaka 23
Kwakweli sikupingiKatoka fb huyu itakuwa
Sawa, nimeachana nayoAchana na miaka yangu
Tena Bado Mbichi huku JFKatoka fb huyu itakuwa
Si bluetoothAisee huyu Sele we Sele , 29yrs hujui mimba inaingiaje😅
Wapi huko tena , kwahiyo tumefowadiwa?Kwanza kule katuambia ana miaka 23
Hapana nazani lilikua bao la mkono dingi akarudi bed kuchomeka kumbe zilkua zime baki za mwisho mwisho ika nasa.sijasoma maandishi yako ila hata wewe ulipatikana kwa ile round ya kwanza tu ambayo binafsi simalizagi hata dk 7
NO OFFENSE
Unasoma chuo ganiMimi ni mwanaume wa miaka 29 miaka minne iliyopita nilipokuwa chuo ilitokea kukutana na demu mmoja ambaye yeye alikuwa ni demu wa mtaani tulikutana kwenye group la Whatsapp la porn baada ya hapo yeye alinifata inbox na tukaanzia hapo nikamwalika ghetto akaja na siku hiyo nilipiga Kwa mara ya kwanza na ya mwisho alipo ondoka aikufika hata week tukapotezeana.
Mimi nikaendelea na maisha yangu na yeye na maisha yake ukapita mda Kama wa mwaka mmoja akaja kunitafuta na kunieleza kuwa ana mtoto wangu to be honest nilikuwa shocked how come, mtu abebe mimba kimya kimya Hadi ajifungue kimyakimya Alf baada ya kujifungua ndio nilikataa.
Baada ya hapo alinitafuta Teena akinisihi sana kuwa anataka nimpe mtoto jina pekee yake ahitaji kitu chochote kutoka kwangu nilimkatalia,lakini baada ya kunisumbua sana na Mimi nina huruma basi nikampatia mtoto yule jina.
Muda ukapita Kama miezi nane hivi akaanza Teena kunisumbua kuwa anataka nikamwone mtoto niliendelea kukata na kumpiga chenga mpaka alipokuja baba yake mzazi wa huyo Binti kunitafuta ndipo nikasema Wacha niende maana nilikuwa nasoma sikupenda kuvuruga masomo yangu Kwa kuhofia kuwa yatafika chuoni na Deen of students ni mnoko atayafikisha Kwa wazazi wangu Bure nikaona nimalize jambo Kwa busara, kabla sijaenda.
Kwao Sasa Kwa mara ya kwanza kumwona huyo mtoto basi Binti alinitafuta before kwenye simu akiniomba niwambie wazazi wake kuwa tunampango wa kuowana maana mda huo nilikuwa nasoma Bado chuo ilikuwa rahisi kueleweka na nilimkubalia Ili tu kumuwekea sawa mazingira ili wazazi wake wasimlete kwere pale nyumbani kwao , kabla atuja-sex aliniambia kuwa anampenzi wake na mm pia nilimuambia kuwa na mpenzi wangu Teena na mtoto nae alikuwa anamfaham, tulikuwa na NY**** ge siku hiyo tulifanya kavu kavu .
Baadae taratibu baada ya mda kupita akanza kubadirika akinitaka matumizi wakati mwanzoni aliniambia kuwa haitaji hata mia yangu yeye anachohitaji ni jina la mtoto nimekuwa nikimpiga chenga na hivi tunakaa mikoa mbali mbali Sasa nimebaki na mgogoro wa nafsi nimkubali au nimkatae huyu mtoto huu ni mwaka wa tatu Sasa yaan mtoto anamiaka mitatu Sasa 03 na kadi za clinic na cheti Cha kuzaliwa vyote vina majina yangu.
Comment za watu wengi ambao ambao wamemwona huyo mtoto na Mimi wanasema ni copyright ila mm nikiona sioni kufanana nae Sasa mpaka Sasa nimebaki dairema vipi huyu mtoto nimkubali au nimepigwa?"
Ndo ukubali kulea usilete sababu🤨Sasa si raha mustarehe
Bluetooth connected uongoSi bluetooth
Upuuzi upi hali yamejaa kwenye jamii hayaPeleka upuuzi fb
Kuna uzi wake mwingine anaongelea michepuko ya dem wakeWapi huko tena , kwahiyo tumefowadiwa?