Tendo siku moja ndo apate Mimba kweli, au nimepigwa?

Tendo siku moja ndo apate Mimba kweli, au nimepigwa?

Suali muhimu sana hapa ni hili, hivi kweli wewe umefika chuo kweli? Umefikaje chuo na unakuja na suali la kiajabu sana juu ya mwanamke kupata mimba baada ya tendo la mara moja tu?
 
Kama wako lea kama si wako usilee mpeleke kwa wazazi wako watjua kama ni mjukuu wao au si wao
 
ukizingatia mgongwaji hakujua mbegu inakaa mudagani eneo la kizazi ili izame ndani zaigoti aanze maisha
 
Dairema/ dilemma 😅 😕 wewe ni msomi wa chuo kweli au umesomea mita Tanesco
 
Back
Top Bottom