Tendo siku moja ndo apate Mimba kweli, au nimepigwa?

Kwani mimba inahitaji siku ngapi, mbegu ngapi ili kushika? Kama una uhakika ni mara moja tu ndio hiyo iliyotosha. Hata ungerudiarudia mara mia ni ile ya kwanza tu ndiyo iliyotosha,zingine ni hasara tupu!
 
Sasa mpaka Sasa nimebaki dairema vipi huyu mtoto nimkubali au nimepigwa?"

Kitendo cha kuandika neno dairema kimenipa picha kujua tunadeal na aina gani ya mwanaume hapa...

Sikiliza wewe kijana, mimba haihitaji masaa wala siku, ni mwanamke akiwa kwenye ovulation anapata ujauzito...
 
Wewe selemani wa mchongo🚮🚮🚮
 
Anayejua baba wa mtoto ni mama. Kubali tu ndugu yangu. Huyo mama hakutaka tu kukusumbua. Muhimu kaangalie mtoto hawezi kukosa alama za ukoo wako, lazima kuna kitu kitafanana na wewe au ndugu yako yeyote.
 
Wewe ni mpumbavu mno! Umekutana na demu kwenye group la porn halafu unaenda kuzini naye bila kuvaa condom! Utakufa kwa UKIMWI dogo
 
We dogo stor za kitoto hizo ila ngoja nikupe elimu..
Yaan kama mwanamke akiwa siku ya hatari yaani ile ya ovulation day hata ukipiga ukasema unakojolea nje, mwanamke anapata mimba coz kuna ute unakuwa unatoka unavyo sex na ule ute umebeba mbegu za kiume na zinaogelea mpaka kwenye yai bila hata ya wewe kumwaga au kukojoa sperm.
 
Kahaba wa kiume na wa kike wakutana porn site wapigana kavu watiana mimba
 
Wakuu kwanini mnaipenda doggy ila hampendi matokeo yake. Maana hiyo style na mimba ni mtu na binamu.
 
We ni Mseeenge hata hicho utakuwa unasomea ujinga ulifikaje Chuo Kama hujui Mimba inaingiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…