BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Sidhani kama kuna anayepiga kelele kama Maria hata kwa wanaume anachukua nafasi ya kwanza tena kwa mbali tu.
Hahahahaha.Yaani Maria huwa ananipa mzuka na yale masauti yake. Bora katoka mapema.