VeronicaAmadu
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 310
- 380
- Thread starter
- #81
Haya kafanyaje, maana mimi hapa napata scores tu ila radio haijamsemea huyo kichaa wetu najua anaongoza.
Walijibizana na refa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], na kuanzia hapo anasemasema peke yake, anagomba haijulikani anamgombeza nani, meza yake wako nervous, wanajitahidi kumuonyesha ishara ya kumtaka atulie. Sijui ana nini Nick. Ila its very entertaining [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu waliokaa siti za mbele wanacheka, wanafurahia his show.