Hapo sina huo wa "U mwendo gani nyumbani" tu maana audio zake huwa hazipo good kama ukikuta wanaimba live alaf kuna kuwa kama kuna mtu anafanya kurudia baadhi ya betiUna audio yake ama nikuwekee hapa
Hapo sina huo wa "U mwendo gani nyumbani" tu maana audio zake huwa hazipo good kama ukikuta wanaimba live alaf kuna kuwa kama kuna mtu anafanya kurudia baadhi ya beti
Wimbo wangu pendwaYesu unipendae kwako nakimbilia
Ni wewe utoshae mwovu akinijia
Yafiche ubavuni mwako maisha yangu
Nifikishe mbinguni,wokoe roho yangu
ππWimbo wangu pendwa
Usijihesabie kufahamu kuliko wengine ndugu na kuona wengine hawajui kuomba, kusifu na kuabudu, kumbuka akili ya Mungu haichunguziki!! Mwache mtu aombe Kwa kadri anavyoongozwa na Roho Mtakatifu maana pekee ndie anaweza kutusaidia kuomba! Kwa akili zetu hatuwezi tutaishia kujiona sisi ni bora kuliko wengine. Warumi 8:26-27, omba kadri unavyoongozwa ili mradi usimkufuru Roho wa Bwana.Mkuu hili sio swala la ufahamu wa mtu ni swala ambalo ni kanuni ya kawaida tu kwenye Ulimwengu wa roho watu wengi bado hawajajua bado ulimwengu wa Roho unavyo tenda kazi,
Ufahamu hawana wengi hata viongozi wetu wa kiimani pia,
Sisemi kwa ubaya au kujitukuza ila hua naumia sana kuona watu wengi sana bado wapo gizani
mambo madogo tu bado hawajayajua Bado inahitaji Neema ya MUNGU na kweli Ya Kristo iwafikie watoke huko maana Yesu alisema enendeni Ulimwenguni pote mkawafanye watu wawe Wanafunzi Ila ajabu sasa hao wanafunzi sasa wamekaa makanisani miaka Tele na bado hawaja hitimu still waMeshikiliwa na taratibu,Kanuni na Mapokeo ya kanisa still bado watumwa na hata Neno na Mambo ya msingi ni Zero kwao MUNGU ni kama Foreigner Na sio BABA tena
nakubaliana na wewe Ndugu ROHO MTAKATIFU atuongoze tujitambue na tUtambue Mamlaka tuliyopewa Katika jina La YESU!
Acha ulokole ndugu nani kajihesabia kujua tatizo lenu hampendi kuambiwa ukweli na kuchukua hatuaUsijihesabie kufahamu kuliko wengine ndugu na kuona wengine hawajui kuomba, kusifu na kuabudu, kumbuka akili ya Mungu haichunguziki!! Mwache mtu aombe Kwa kadri anavyoongozwa na Roho Mtakatifu maana pekee ndie anaweza kutusaidia kuomba! Kwa akili zetu hatuwezi tutaishia kujiona sisi ni bora kuliko wengine. Warumi 8:26-27, omba kadri unavyoongozwa ili mradi usimkufuru Roho wa Bwana.
Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
Pole kwa kuondokewa na mzee wako, mimi hizo zote zikiimbwa machozi huja bila kuitwa yaaniHizi za chini ndio zangu dahh, Hiyo nasikia kuitwa wakati nahangaika na uzinzi na ujana ilikuwa inasema nami sana Moyoni Mwangu. Uliyewaita dah, hiyo ninlazima nitoe machozi nikiisikia na huwa najitahidi sana nisiisikilize mbele za watu.
Nilikuta mtu anasikiliza hiyo tenzi huwa naondoka kwani huwa nataka sana machozi. Naipenda sana na Marehemu mzee wangu alikuwa anaipenda sana. Kwenye msiba wake, watoto tuliomba tuombe huo wimbo kama kumbukumbu yake.
Tenzi za rohoni,zinampa mtu utulivu na amani.Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.
Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi
3.Salama Rohoni
4.Yesu unipendaye
5.Mwamba wenye imara
6.Nataka nimjue Yesu
7.Bwana u sehemu yangu
8.Ni tabibu
9.Kumtegemea Mwokozi
10.Kaa nami
11.Bwana Mungu nashangaa kabisa.
Wakati mwingi unatembea au uko busy na shughuli zako unajikuta unaimba tu peke yako, unahisi amani ya ajabu ndani ya moyo wako.
Muwe na siku njema wana wa Mungu.
ππππππ