Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Mungu ashukuriweWapo salama.
Naona maeneo wanapoishi kumepona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ashukuriweWapo salama.
Naona maeneo wanapoishi kumepona.
HakikaMungu ashukuriwe
kuna binamu yangu ni mdangaji, na kuna madanguro huko ya kutosha ila upamde huo wanasema limepita kwao ila ni dogo kwahiyo hawajaathirika ila wanaishi kwa mashakaWapo watanzania wanaosoma na wanaoishi sehemu hizo ?? Kuna habari yoyote kuhusu wao ??
Ila watu wanajua jilipua maisha.uturuki walifanya kama chimbo jipya..
nmemwambia shikilia passport kama roho yako na hela
mana mda wowote linaweza kuwa lolote.. mana ni wabishi
mdo mana nilimwambia mana ni ndugu yangu mtoto wa mamdogo ila naona kama anataka kubisha mana walitaka wahamie nchi ingine kabla ya mambo haya..Ila watu wanajua jilipua maisha.
Ila kwa hii miezi 3 bora warudi maana emergency imetangazwa.
Uchumi utashuka sana
Maisha ndo hivyo unajilipua tu. Hawa pisi kali wengi wanauzwa kwa kupenda maisha ya mteremkomdo mana nilimwambia mana ni ndugu yangu mtoto wa mamdogo ila naona kama anataka kubisha mana walitaka wahamie nchi ingine kabla ya mambo haya..
wanajilipua sana kuna hao wanawalipia nauli na kuwatengenezea passport
wakifika wanafanya umalaya wanawalipa afu ndo maisha yanaanza..
Bado hajafuzu mkuu.Mie nkajua alishafuzu mafunzo ya uokoaji huko Tanga kumbe bado anatumia Kasia kwenye uokoaji?
Mkuu tuheshimiane, kama huna hoja ya kujibu nenda kamtukane mwanao uliyemzaa mimi ni mtu mzima na ndevu zangu, tuheshimiane.Wewe mfia dini kayafa mpuuzi,nani alikudanya kuwa chanzo au sababu za tetemeko ni kuzidi kwa madhambi,huko makanisani na misikitini kumbe mnajifunza upuuzi namna hii!!?
Kwamba litokee kipindi Cha bunge au?Huwa naiwazia Dodoma
Ndevu gani hizo mkuu unajibu hoja ngumu kwa majibu mepesi wewe, eti mtu mzima,my foot!!Mkuu tuheshimiane, kama huna hoja ya kujibu nenda kamtukane mwanao uliyemzaa mimi ni mtu mzima na ndevu zangu, tuheshimiane.
aiseeUrusi imepeleka maelfu ya wamajeshi nchini Syria kusaidia uokozi.
Naona kuna uwezekano vifo vikafika hata 50k.Hivi vifusi, sehemu ambazo hawajazifikia na zote zina watu wamefukiwa na speed ya uokoaji inatia mashaka sana kwa uhai wa waliopo chini ya vifusi hivyo.Vifo vimevuka 16,000
Theruji na baridi, ubovu wa miundombinu etc
Vifo vingi vimetokea upande wa Turkiye
Reli kadhaa zimepishana kwa hadi 5mts, barabara nazo hivyo hivyo
Wamarekani walisema kuwa vifo vitakuwa zaidi ya 20000,Naona kuna uwezekano vifo vikafika hata 50k.Hivi vifusi, sehemu ambazo hawajazifikia na zote zina watu wamefukiwa na speed ya uokoaji inatia mashaka sana kwa uhai wa waliopo chini ya vifusi hivyo.
Ndevu gani hizo mkuu unajibu hoja ngumu kwa majibu mepesi wewe, eti mtu mzima,my foot!!
Si kila hoja itajibiwa kwa mujibu wa fani yako ya ualimu wa shule ya msingi, mambo mengine ni mazito yamekuzidi maarifa so lazima ushangae, wewe unapokaa hapa kuzungumzia tectonic plates umewahi kuziona?.Ndevu gani hizo mkuu unajibu hoja ngumu kwa majibu mepesi wewe, eti mtu mzima,my foot!!
Imekuwa worse sababu tetemeko limetokea usiku watu wakiwa wamelala,jengo linashuka na watu wote wakiwa ndani.Ingekuwa mchana pengine kungekuwa na afadhari kidogo.Wamarekani walisema kuwa vifo vitakuwa zaidi ya 20000,
Walisema masaa 2 baada ya tetemeko kutokea
Rais wa Uturuki alisema kuwa hali ni mbaya kuliko 1939 ambapo walikufa watu 30,000
Pia wananchi wamelalamika kuchelewa kwa usaidizi na uokozi, Rais amesema kuwa tatizo ni njia zilikuwa hazipitiki
Bulldozers na Lifters au Winch ni chache sana, hazitoshelezi