Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Mwaarabu mweusi. Hii lugha wachache sana wanaijuaإِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ
Please, rudi katika lengo la uzi. Hiyo ni sehemu ya aya katika Qur'an. Na ni neno tunalolisema unapotokea msiba likimaanisha "We belong to Allah and to Him we shall return" au kwa Kiswahili "Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea".Hongera Mwaarabu mweusi. Hii lugha wachache sana wanaijua
Acha tuuuMungu epusha hili janga, likija huku kwetu na hizi nyumba za kuegesha sijui itakuwaje.
Hivi wale walioichoma Qur'an ni nchi gani Sweden, Uturuki au Syria?Upande wa Uturuki
Vifo 150
Majeruhi 400
Syria vifo 80
Majeruhi 120
Mambo mengine magumu sana.Please, rudi katika lengo la uzi. Hiyo ni sehemu ya aya katika Qur'an. Na ni neno tunalolisema unapotokea msiba likimaanisha "We belong to Allah and to Him we shall return" au kwa Kiswahili "Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea".
Haya turudi katika uzi.
Dodoma vipi kunani tena limepiga na uko?Huwa naiwazia Dodoma
Mmh kila nchi na majanga yake