Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa watu wapuuzi sana! Kurani ni kitabu tuWacha kelel wew mvaa Kobazi hayo ni majanga ya asili Quran ilichomwa na mabwenyenye huko sweden na waNakula kuku kwa mirija wakijiandaa kupeleka msaada hapo turkey [emoji1250] hao wanaokufa hapo uturuki ni waislamu wenzio tena uislamu wanaujua na waliupigania kwa upanga kabla babu yako hapo bagamoyo hajafikiwa na kina sultani
SijamuelewaHuyo anaukejeli Uislam. Na wewe ni kama unamuunga mkono. Kiufupi ulivyojibu kuukejeli Uislam ndio lengo lake. Moderator
Sisi tunaokaa mbavu za mbwa tetemeko haliwezi kutunyonga. Ila wanaoishi jumba za ghorofa kazi wanayoMungu epusha hili janga, likija huku kwetu na hizi nyumba za kuegesha sijui itakuwaje.
Katika maisha ya kawaida dakika inaweza kuonekana nothing. Kujua how long a minute is ni majanga kama haya; a minute becomes a century! Pole nyingi sana kwao; majanga hayana mwenyewe!Tetemeko lilidumu kwa sekunde 90
Nyie size yenu mvua za upepo au sio? Ghafla unakuwa unaitazama mbingu.Sisi tunaokaa mbavu za mbwa tetemeko haliwezi kutunyonga. Ila wanaoishi jumba za ghorofa kazi wanayo
7.8 rischter scale sio mchezo! Linaingia kwenye kundi la devastating au deadly! At least below 6.0 is moderate.Vifo vimefikia 600, huku GS ya Marekani ikisema vifo vutakuwa maelfu
Hatufi tunadunda tuNyie size yenu mvua za upepo au sio? Ghafla unakuwa unaitazama mbingu.
Dah!.. epicenter yake itakuwa hapo UturukiBREAKING: United States Geological Survey estimates Turkey earthquake could end up resulting in thousands of deaths