Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Deadly...tuwaombee.Vifo vyafikia 1900
Hospital moja imeporomoka yote, wagonjwa wahofia kubaki ndani ya vifusi.
Kuna wachezaji wa mpira wamefunikwa na kifusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deadly...tuwaombee.Vifo vyafikia 1900
Hospital moja imeporomoka yote, wagonjwa wahofia kubaki ndani ya vifusi.
Kuna wachezaji wa mpira wamefunikwa na kifusi
Ila Mungu ana nguvu za ajabu na kushangaza sana lakini binadamu wa siku hizi tunamchukulia poa sana.Dah!.. epicenter yake itakuwa hapo Uturuki
Aisee! Hatari na nusu
Vifo vyafikia 1900
Hospital moja imeporomoka yote, wagonjwa wahofia kubaki ndani ya vifusi.
Kuna wachezaji wa mpira wamefunikwa na kifusi
Acha tu mkuu....ni muhimu kumshukuru Mungu kwa uhai wako tu.Ila Mungu ana nguvu za ajabu na kushangaza sana lakini binadamu wa siku hizi tunamchukulia poa sana.
Hilo tetemeko limepiga sekunde 90 tu,je lingepiga nusu saa so nchi nzima ungeangamia?
Kati ya kitu wenye brains so far wameshindwa ku-detect ni tetemeko kabla halitokea. Taarifa hutolewa limeshatokea na kuleta madhara ila sio kabla! Mungu ajalie akatuzalishie kizazi chenye akili hizo waje na solution.Dah!.. epicenter yake itakuwa hapo Uturuki
Fafanua mkuu,ni dollar au shillingsHasara tarajiwa ni zaidi ya trilioni 100
Ila kuweza mpaka kupima ukubwa wake bado wamejitahidi mno.....Kama hata wanaweza kupima na kutoa viashiria vya Tsunami au vimbunga vikubwa bado pia wametusaidia Sana hawa wataalamu.Kati ya kitu wenye brains so far wameshindwa ku-detect ni tetemeko kabla halitokea. Taarifa hutolewa limeshatokea na kuleta madhara ila sio kabla! Mungu ajalie akatuzalishie kizazi chenye akili hizo waje na solution.
Hiyo ni kweli..,hata ajari zinazochukua roho za wapenda wetu Huwa zinasababishwa na makosa yaliyofanyika ndani ya sekunde zisizozidi 5 tuKatika maisha ya kawaida dakika inaweza kuonekana nothing. Kujua how long a minute is ni majanga kama haya; a minute becomes a century! Pole nyingi sana kwao; majanga hayana mwenyewe!
kwa hiyo hili tetemeko limeletwa na Mungu?.Ila Mungu ana nguvu za ajabu na kushangaza sana lakini binadamu wa siku hizi tunamchukulia poa sana.
Hilo tetemeko limepiga sekunde 90 tu,je lingepiga nusu saa so nchi nzima ungeangamia?
Sisi Wacha tuendelee kusifu ubora na nguvu ya hypersonic missile!!Ila Mungu ana nguvu za ajabu na kushangaza sana lakini binadamu wa siku hizi tunamchukulia poa sana.
Hilo tetemeko limepiga sekunde 90 tu,je lingepiga nusu saa so nchi nzima ungeangamia?
Source??Vifo vyafikia 1900
Hospital moja imeporomoka yote, wagonjwa wahofia kubaki ndani ya vifusi.
Kuna wachezaji wa mpira wamefunikwa na kifusi
Kuna jamaa alitoa taarifa ya kitafiti siku takribani mbili kabla kuhusu hili tetemeko. Taarifa zake nimezileta katika post yangu kabla ya hii.Kati ya kitu wenye brains so far wameshindwa ku-detect ni tetemeko kabla halitokea. Taarifa hutolewa limeshatokea na kuleta madhara ila sio kabla! Mungu ajalie akatuzalishie kizazi chenye akili hizo waje na solution.