Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaangalie wenzio walivyokufa kwa kusafirisha maiti Tena wamefika 20 ulitaka sisi tukejeli ? Ajali ni ajali Haina kingaSawa usiye kafir
Kwa hyo tetemeko limeletwa na Nan ? Nataka kujifunza..Na ile ajali ya juzi korogwe imeletwa na Nan?kwa hiyo hili tetemeko limeletwa na Mungu?.
wajinga kama nyinyi ndio mnaofanya hoja za atheist wa hapa JF zionekane zina mantiki kuliko hoja za wanaoamini uwepo wa Mungu.
huna akili.
Haya ya mitandaoni ndo yanaakisi yaliyoko mitaani maana watu walioko mitandaoni ndo walioko mitaani.Mkuu usiwe serious sana na memba wa jf. Hiki ni kijiwe cha mtandaoni unayoyaona humu watu hawalingani nayo huko mitaana it is complete opposite.
Nashangaa Ktk mambo kama haya bado kuna watu mnaleta kejeli za kidini wakati kuna maisha ya watu kibao yamepotea bila kupenda ,haujui Kesho wake na wewe una ndugu na wazazi au watoto hivyo haipendezi mtu kukufanyia kejeli ikitokea hali kama hizo hata wewe hauko salama endapo kitu kama hiko kikitokea kwako ,tuombe sana Mwenyezi Mungu atuepeshe..[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa watu wapuuzi sana! Kurani ni kitabu tu
Acha kukurupuka uliyemQuote siyo Muislamu ni mtu ambaye ameuliza hilo swali kea ajili ya kukejeli uislamu kwa uelewa wako mdogo au chuki na wewe ukajibu kwa mihemko .Wacha kelel wew mvaa Kobazi hayo ni majanga ya asili Quran ilichomwa na mabwenyenye huko sweden na waNakula kuku kwa mirija wakijiandaa kupeleka msaada hapo turkey 🇹🇷 hao wanaokufa hapo uturuki ni waislamu wenzio tena uislamu wanaujua na waliupigania kwa upanga kipindi hiyo inaitwa Ottoman walifika hadi israel wakislimisha watu kwa upanga kabla babu yako hapo bagamoyo hajafikiwa na kina sultani
Dah!..yaani kuna mitaa imegeuka vifusi tu...Dah kwa athari hizi hata watu elfu kumi na kitu watafika aisee hali ni mbaya.View attachment 2508510View attachment 2508511View attachment 2508512View attachment 2508513View attachment 2508514View attachment 2508515View attachment 2508516View attachment 2508518View attachment 2508519
Hakawezi kuelekea kwa watu wa haki, katapita kwa Mashoga wa magharibiHAKA KATETEMEKO SIKU MOJA KAVUTE BANGI KAPITE PALE MASHARIKI KATE KAWAFYAGIE WALE WOTE WAISHIO PALE NA MWEMBWE ZAO ZA KUONEA WENZAO.ERDOGAN KAPATA ZA USO TOKA KWA MUUMBA.
Hilo tetemeko limeletwa na Sweden? 🤣 Hebu ficha utoto hata kwa mbali basi.Poland kupeleka vikosi vya uokoaji!
Edogan atapata akili sasa asiwe bega kwa bega na Putin
[emoji16][emoji16][emoji16]sijui kwanini nimechekaMabomba ya gesi yamelipuka.
Poland, tayari katuma waokozi
Tanzania tutume hata maombi
Kafanya kazi kubwa sana ila bado. Sooner or later unaufanya uwe utabiri zaidi kuliko utafiti wa kisayansi.Kuna jamaa alitoa taarifa ya kitafiti siku takribani mbili kabla kuhusu hili tetemeko. Taarifa zake nimezileta katika post yangu kabla ya hii.
Kabisa mkuuKafanya kazi kubwa sana ila bado. Sooner or later unaufanya uwe utabiri zaidi kuliko utafiti wa kisayansi.
Majanga ya asili ni balaa sana! Within 90 seconds ni balaa zaidi ya mabomu yote yaliyodondoshwa Ukraine kwa karibu mwaka mzima! Mungu wa Mbinguni awape faraja.Dah kwa athari hizi hata watu elfu kumi na kitu watafika aisee hali ni mbaya.View attachment 2508510View attachment 2508511View attachment 2508512View attachment 2508513View attachment 2508514View attachment 2508515View attachment 2508516View attachment 2508518View attachment 2508519
limeletwa na wewe.Kwa hyo tetemeko limeletwa na Nan ? Nataka kujifunza..Na ile ajali ya juzi korogwe imeletwa na Nan?
Tunataka kujua unaleta utani.🤣limeletwa na wewe.