PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
DabagaSource??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DabagaSource??
Duh!! Huyo jamaa ameula!!Kuna huyu jamaa anaitwa Frank Hoogerbeets. Alitabiri (predict) hili tetemeko la ardhi katika nchi za Uturuki na Syria siku takribani mbili-tatu zilizopita.
Hoogerbeets ni mtafiti wa masuala ya matetemeko ya ardhi kutoka taasisi moja ya Uholanzi inayoitwa Solar System Geometry Survey (SSGEOS).
View attachment 2508473
Huyu ndiye anayetakiwa kukamatwa na kuhojiwaKuna huyu jamaa anaitwa Frank Hoogerbeets. Alitabiri (predict) hili tetemeko la ardhi katika nchi za Uturuki na Syria siku takribani mbili-tatu zilizopita.
Hoogerbeets ni mtafiti wa masuala ya matetemeko ya ardhi kutoka taasisi moja ya Uholanzi inayoitwa Solar System Geometry Survey (SSGEOS).
View attachment 2508473
Angalau vimbunga vina tambulika mapema mnachukua tahadhari mapema.Kati ya kitu wenye brains so far wameshindwa ku-detect ni tetemeko kabla halitokea. Taarifa hutolewa limeshatokea na kuleta madhara ila sio kabla! Mungu ajalie akatuzalishie kizazi chenye akili hizo waje na solution.
Usiingize siasa kwenye majanga ya aina yoyote mfano hili, kufanya hivyo ni sawa na ugaidi. Yaani kutumia vitisho vya maafa kwa marengo ya kisiasa. Acha kabisa na usirudie tena! Hata kama ni utani hapa si mahala pakeHii ni vita ya kiuchumi
Marekani na washirika wake hawa kulidhika na kuharibu maandiko matakatifu sasa wametuma tetemeko
Shida ni kwamba, taarifa zake hazikuchukuliwa serious, pengine ni kwa sababu ya kutokuwa na ushawishi mkubwa.
Imagene mpaka jua linazama jana wote walio kufa hakuna hata mmoja aliye kuwa anajua kuwa jana usiku ndo ungekuwa mwisho wa maisha yao dah inafikirisha sana.Acha tu mkuu....ni muhimu kumshukuru Mungu kwa uhai wako tu.
Akamatwe kwa sababu zipi?Huyu ndiye anayetakiwa kukamatwa na kuhojiwa
Likitokea huku wajanja ndio muda wao wa kupiga hela.
Mkuu usiwe serious sana na memba wa jf. Hiki ni kijiwe cha mtandaoni unayoyaona humu watu hawalingani nayo huko mitaana it is complete opposite.Ila jamii ya kiafrika imejaa majitu mapumbavu ,yaani hata kwenye majanga ya asili ambayo yameuwa maelfu ya watu tiyari watu wameshaanza kuleta kejeri dhidi ya dini za watu kana kwamba tetemeko limeletwa na dini?
Alafu unakuta ni majitu mazima yenye familia lakini yamejaa akili za hovyo.
Yeah huwa wanabashiri kuhusu after shocks tu, na after shocks ndio mbayaKati ya kitu wenye brains so far wameshindwa ku-detect ni tetemeko kabla halitokea. Taarifa hutolewa limeshatokea na kuleta madhara ila sio kabla! Mungu ajalie akatuzalishie kizazi chenye akili hizo waje na solution.
Nimefatilia aiseee imebidi nimfollow.Kuna huyu jamaa anaitwa Frank Hoogerbeets. Alitabiri (predict) hili tetemeko la ardhi katika nchi za Uturuki na Syria siku takribani mbili-tatu zilizopita.
Hoogerbeets ni mtafiti wa masuala ya matetemeko ya ardhi kutoka taasisi moja ya Uholanzi inayoitwa Solar System Geometry Survey (SSGEOS).
View attachment 2508473
Sawa mzoefu wa kucheza na vinyesi vya wanaume wenzio,Mashoga huwa muda wote mnawaza ujinga
Kwanini walipuuzia sasa?Kuna huyu jamaa anaitwa Frank Hoogerbeets. Alitabiri (predict) hili tetemeko la ardhi katika nchi za Uturuki na Syria siku takribani mbili-tatu zilizopita.
Hoogerbeets ni mtafiti wa masuala ya matetemeko ya ardhi kutoka taasisi moja ya Uholanzi inayoitwa Solar System Geometry Survey (SSGEOS).
View attachment 2508473
Wakamchukulia poa km alikua anataka kuichoma Moto 🔥 Qur'an vile yaan kumbe,Kuna huyu jamaa anaitwa Frank Hoogerbeets. Alitabiri (predict) hili tetemeko la ardhi katika nchi za Uturuki na Syria siku takribani mbili-tatu zilizopita.
Hoogerbeets ni mtafiti wa masuala ya matetemeko ya ardhi kutoka taasisi moja ya Uholanzi inayoitwa Solar System Geometry Survey (SSGEOS).
View attachment 2508473